Mbunge wa CCM HAKUPOKEA RUSHWA...

Mbunge wa CCM HAKUPOKEA RUSHWA...

Wamezidi CCM na rushwa jamani, ila za mwizi zao ni 2015 lazima tuwatimue Ikuru aingie mzee wetu Mwadilifu anayejua kujisimamia. Hapa namzungumzia Dr. Slaa
 
Mbunge wa Bahi(CCM) Omar Badwel hakupokea rushwa. Kusema Mbunge Badwel amepokea rushwa ni dharau kwa mahakama.
Dharau hii haivumiliki. Mahakama zetu,hivi sasa,zimeazimia kutenda haki.

Mbunge Badwel amefikishwa Mahakamani jana na kusomewa mashtaka ya kuomba na kupoke rushwa. Amekuwa akizungumzwa kana kwamba ameshathibitishwa kuwa amepokea rushwa.Hii si haki jamani.

Kimsingi, baada ya mwenendo mzima wa kesi, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ndiyo itakayosema kuwa Mbunge Badwel amepokea rushwa au la.Mbunge Badwel anaendelea kuwa Mshtakiwa hadi siku ya hukumu. Mahakama ziheshimiwe kwa utendaji wa haki...

Takukuru hawawezi kukupeleka tu hivi hivi kwa pilato pasipo kua na ushahidi,jamaa alipelekewa hela za moto(hela za pccb) zikamuunguza! Biliv dat!
 
Mbunge wa Bahi(CCM) Omar Badwel hakupokea rushwa. Kusema Mbunge Badwel amepokea rushwa ni dharau kwa mahakama.
Dharau hii haivumiliki. Mahakama zetu,hivi sasa,zimeazimia kutenda haki.

Mbunge Badwel amefikishwa Mahakamani jana na kusomewa mashtaka ya kuomba na kupoke rushwa. Amekuwa akizungumzwa kana kwamba ameshathibitishwa kuwa amepokea rushwa.Hii si haki jamani.

Kimsingi, baada ya mwenendo mzima wa kesi, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ndiyo itakayosema kuwa Mbunge Badwel amepokea rushwa au la.Mbunge Badwel anaendelea kuwa Mshtakiwa hadi siku ya hukumu. Mahakama ziheshimiwe kwa utendaji wa haki...

Kama hakupokea rushwa amepelekwa mahakamani kwa tuhuma gani ???
 
Tunapozungumzia mahakama maana yake ni chombo cha kutoa haki,kutafsiri sheria na kutoa adhabu kwa anayepatikana na hatia.Ni sehemu muhim kwa maisha yetu.Msingi wa mahakama ulikuwa ni kuwalinda wenye mali na madaraka.Kwa sasa hazina bud kujitafsiri upya kwa sababu mifumo ya kiutawala imebadilika na kila mtu kwa sasa anayo haki ya kulindwa na sheria;maskin au tajiri,kiongoz au raia n.k n.k.Kuhusu tuhuma kuzungumzwa na watu wengine ni haki ya kila mtu.Kuhusu kuchunguza chunguza tuhuma na kujua ukwel ni jukum la kila raia.Kwa hiyo usitufunge midomo kuongea juu ya jambo lolote.Hii tabia ya baadhi yetu kujificha kwenye kivul cha mahakama ni dalil ya kuficha maov.Tuwe wawaz tuongee tunayoyajua kwa faida ya wote siyo kutetea mtu au kikundi ikiwa kuna uovu.
 
Haijarishi...jamaa ameumbuliwa hata kama tutapanga matokeo. Hata Italy timu zapanga matokeo, itakuwa kwenye haya makombe ya mbuzi?
 
Hizo ni luia tu.

Lakini me najua ukiwa mshitakiwa ni kwamba unakosa until proven othewise. Ndio maana watu mnabeba mabango now kusema 'lulu alimuua kanumba' je hukumu imetolewa?
Unajipa stres za bure kijana na lugha gongana
hivyo huyu mbunge wa ccm amepokea rushwa until proven otherwise
 
Hivi ukakuta mtu amepata ajali na amekatika kichwa utasubiri daktari aje athibitishe kama
amekufa?Hiyo rushwa lazima kulikuwa na mkono wa TAKUKURU,hivyo wana ushaidi wa kutosha.
Jimbo lingine la CDM hiloooooooooooooo!
 
Hivi ndivyo walivyozoea ni vitu vya kawaida kwa ccm sasa wameumbuka nafikiri mahakama itatenda haki.
 
Tunapozungumzia mahakama maana yake ni chombo cha kutoa haki,kutafsiri sheria na kutoa adhabu kwa anayepatikana na hatia.Ni sehemu muhim kwa maisha yetu.Msingi wa mahakama ulikuwa ni kuwalinda wenye mali na madaraka.Kwa sasa hazina bud kujitafsiri upya kwa sababu mifumo ya kiutawala imebadilika na kila mtu kwa sasa anayo haki ya kulindwa na sheria;maskin au tajiri,kiongoz au raia n.k n.k.Kuhusu tuhuma kuzungumzwa na watu wengine ni haki ya kila mtu.Kuhusu kuchunguza chunguza tuhuma na kujua ukwel ni jukum la kila raia.Kwa hiyo usitufunge midomo kuongea juu ya jambo lolote.Hii tabia ya baadhi yetu kujificha kwenye kivul cha mahakama ni dalil ya kuficha maov.Tuwe wawaz tuongee tunayoyajua kwa faida ya wote siyo kutetea mtu au kikundi ikiwa kuna uovu.
 
Huu ni mpango wa CCM ili tusahau uchunguzi wa Mkullo na wenzie. Wameona Maige ameanza kuropoka wakaamua kutuletea kesi ya mil. 1. Watulie kidogo maige lazima aseme wale twiga aliwauza kwa kibali cha nani. Hizo ndo rushwa ya kupeleka mahakamani na mkullo aliyefungia ma brand new V8 na Ma Vogue ndani ya nyumba yake
Vipi ngeleja aliyenunua gari akaipakia kwenye ndege ili iwahi kufika.

Mantuletea eti mil. 1.

Baba Mwanaasha aliyepokea suti akauza kiwanja cha hotel serengeti hawajamuona

nchi hii bwana, bora M4C wachukue nchi tu, hiz sarakasi zinachosha
 
tena yawezekana hata sehemu wanayosema alienda hajafika toba yarabi!

Usifikiri mahakama ni Jahazi Modern Taarab mpk ulete mambo ya kuwezekana hapa. Kwa hiyo wewe unadhani Takukuru nao wanadhani kama wewe? Yule mtoaji ndio aliyefanikisha kukamtwa kwa kushirikiana na TAKUKURU, shida yenu ni shule za kata mlizosoma, Kikwete kawaweza kweli kweli
 
Huu ni mpango wa CCM ili tusahau uchunguzi wa Mkullo na wenzie. Wameona Maige ameanza kuropoka wakaamua kutuletea kesi ya mil. 1. Watulie kidogo maige lazima aseme wale twiga aliwauza kwa kibali cha nani. Hizo ndo rushwa ya kupeleka mahakamani na mkullo aliyefungia ma brand new V8 na Ma Vogue ndani ya nyumba yake
Vipi ngeleja aliyenunua gari akaipakia kwenye ndege ili iwahi kufika.

Mnatuletea eti mil. 1.

Baba Mwanaasha aliyepokea suti akauza kiwanja cha hotel serengeti hawajamuona

nchi hii bwana, bora M4C wachukue nchi tu, hiz sarakasi zinachosha
 
Mbunge wa Bahi(CCM) Omar Badwel hakupokea rushwa. Kusema Mbunge Badwel amepokea rushwa ni dharau kwa mahakama.
Dharau hii haivumiliki. Mahakama zetu,hivi sasa,zimeazimia kutenda haki.

Mbunge Badwel amefikishwa Mahakamani jana na kusomewa mashtaka ya kuomba na kupoke rushwa. Amekuwa akizungumzwa kana kwamba ameshathibitishwa kuwa amepokea rushwa.Hii si haki jamani.

Kimsingi, baada ya mwenendo mzima wa kesi, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ndiyo itakayosema kuwa Mbunge Badwel amepokea rushwa au la.Mbunge Badwel anaendelea kuwa Mshtakiwa hadi siku ya hukumu. Mahakama ziheshimiwe kwa utendaji wa haki...

Sawa tunasubiri mahakama uhukumu lakini kiashiria cha kwanza ni kukamatwa kwake ndiyo maana hukukamatwa wewe bali ni bwana Badwel
 
Mbunge wa Bahi(CCM) Omar Badwel hakupokea rushwa. Kusema Mbunge Badwel amepokea rushwa ni dharau kwa mahakama.
Dharau hii haivumiliki. Mahakama zetu,hivi sasa,zimeazimia kutenda haki.

Mbunge Badwel amefikishwa Mahakamani jana na kusomewa mashtaka ya kuomba na kupoke rushwa. Amekuwa akizungumzwa kana kwamba ameshathibitishwa kuwa amepokea rushwa.Hii si haki jamani.

Kimsingi, baada ya mwenendo mzima wa kesi, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ndiyo itakayosema kuwa Mbunge Badwel amepokea rushwa au la.Mbunge Badwel anaendelea kuwa Mshtakiwa hadi siku ya hukumu. Mahakama ziheshimiwe kwa utendaji wa haki...

Haki na sheria ni vitu tofauti kabisa!

Si kila haki ni sheria na si kila sheria ni ya haki! Unajua hilo?
 
Mbunge wa Bahi(CCM) Omar Badwel hakupokea rushwa. Kusema Mbunge Badwel amepokea rushwa ni dharau kwa mahakama.
Dharau hii haivumiliki. Mahakama zetu,hivi sasa,zimeazimia kutenda haki.

Mbunge Badwel amefikishwa Mahakamani jana na kusomewa mashtaka ya kuomba na kupoke rushwa. Amekuwa akizungumzwa kana kwamba ameshathibitishwa kuwa amepokea rushwa.Hii si haki jamani.

Kimsingi, baada ya mwenendo mzima wa kesi, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ndiyo itakayosema kuwa Mbunge Badwel amepokea rushwa au la.Mbunge Badwel anaendelea kuwa Mshtakiwa hadi siku ya hukumu. Mahakama ziheshimiwe kwa utendaji wa haki...


Tumia kichwa kufikiri.
Mbona na wewe umehukumu kwa kusema hakupokea?
 
Hivi ukakuta mtu amepata ajali na amekatika kichwa utasubiri daktari aje athibitishe kama
amekufa?Hiyo rushwa lazima kulikuwa na mkono wa TAKUKURU,hivyo wana ushaidi wa kutosha.
Jimbo lingine la CDM hiloooooooooooooo!

Naona huruma kwa Jembe letu Dr.Slaa a.k.a Dokta wa Ukweli. Manake kampeni zitamuua mwaka huu, tayari jukwaa limeshamkondesha na bado wengine ndio kwanza wanamuongezea kazi.

Maige na Nimrod Mkono wakifukuzwa uanachama ina maana majimbo yao nayo yatakuwa wazi hivyo ni suala tu CDM kuweka mtu kwani wananchi tayari wamesharidhia, sasa Dr si tutamuua kwa kazi jamani?
 
haya tuseme amepokea hongo na siyo rushwa,mpe hai nepi mniue
 
We jamaa Unatuvuruga...kawa unafikir utawatuliza wa JF basi umesanda Kajipange na Chama kimeshakuruka kimanga..We si ndio Kafulila alikulipua kuwa wewe Badwel na Zambi,Mmekula/Mmeomba Rushwa..Mkosamali akakutetea kwa George.Haya sasa umeumbuka tena na safari hii unapotea hakuna Msaada..Chama chako kina Matatizo LUKUKI na we umeongeza hili Lazima wakusadake..

Sent from my BlackBerry Porsche using JamiiForums
 
Back
Top Bottom