Mbunge wa CCM HAKUPOKEA RUSHWA...

mwaka 2002 alituhumiwa kuibaa mifuko 15 ya cement kutoka world vision kijiji cha chipanga ambapo yeye alikua diwani wa chipanga! mwaka 2007 alifukuzwa uenyekiti wa halmashauri kwa tuhuma ya kujilipa posho kuanzia mwaka 2007 hadi 2010 yani amejilipa posho ya miaka 3 mbeleni! mwaka 2010 alivunja rekodi ya kutoa rushwa kwenye uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM,mwaka jana Omar Bad-well ali gombana na dereva wake kuwa hakuwahi kumlipa mshahara wake kwa miezi 8 mfululizo! lakini katika kijiji cha chipanga amekua akifanya mapenzi na kijana wa kiume kwa yeye kumuingilia kinyume na maumbile na yeye kuingiliwa kinyume cha maumbile na kijana huyo aitwaye Noel mtoto wa mwalimu wa shule ya msingi!

Ibilisi
 
Back
Top Bottom