Mbunge wa CCM HAKUPOKEA RUSHWA...

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Mbunge wa Bahi(CCM) Omar Badwel hakupokea rushwa. Kusema Mbunge Badwel amepokea rushwa ni dharau kwa mahakama.
Dharau hii haivumiliki. Mahakama zetu,hivi sasa,zimeazimia kutenda haki.

Mbunge Badwel amefikishwa Mahakamani jana na kusomewa mashtaka ya kuomba na kupoke rushwa. Amekuwa akizungumzwa kana kwamba ameshathibitishwa kuwa amepokea rushwa.Hii si haki jamani.

Kimsingi, baada ya mwenendo mzima wa kesi, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ndiyo itakayosema kuwa Mbunge Badwel amepokea rushwa au la.Mbunge Badwel anaendelea kuwa Mshtakiwa hadi siku ya hukumu. Mahakama ziheshimiwe kwa utendaji wa haki...
 
Mbunge wa Bahi(CCM) Omar Badwel hakupokea rushwa.Kusema Mbunge Badwel amepokea rushwa ni dharau kwa mahakama.Dharau hii haivumiliki.Mahakama zetu,hivi sasa,zimeazimia kutenda haki.Mbunge Badwel amefikishwa Mahakamani jana na kusomewa mashtaka ya kuomba na kupoke rushwa.Amekuwa akizungumzwa kana kwamba ameshathibitishwa kuwa amepokea rushwa.Hii si haki jamani.

Kimsingi,baada ya mwenendo mzima wa kesi,Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ndiyo itakayosema kuwa Mbunge Badwel amepokea rushwa au la.Mbunge Badwel anaendelea kuwa Mshtakiwa hadi siku ya hukumu.Mahakama ziheshimiwe kwa utendaji wa haki...

Nakubaliana na wewe mkuu haikuwa rushwa ile ila alipokea Mlungula
 
Mbunge wa Bahi(CCM) Omar Badwel hakupokea rushwa.Kusema Mbunge Badwel amepokea rushwa ni dharau kwa mahakama.Dharau hii haivumiliki.Mahakama zetu,hivi sasa,zimeazimia kutenda haki.Mbunge Badwel amefikishwa Mahakamani jana na kusomewa mashtaka ya kuomba na kupoke rushwa.Amekuwa akizungumzwa kana kwamba ameshathibitishwa kuwa amepokea rushwa.Hii si haki jamani.

Kimsingi,baada ya mwenendo mzima wa kesi,Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ndiyo itakayosema kuwa Mbunge Badwel amepokea rushwa au la.Mbunge Badwel anaendelea kuwa Mshtakiwa hadi siku ya hukumu.Mahakama ziheshimiwe kwa utendaji wa haki...

sina shaka wewe ni katibu wa mbunge,,,,mwizi na mlafi,,,,,
 
Mbunge wa Bahi(CCM) Omar Badwel hakupokea rushwa.Kusema Mbunge Badwel amepokea rushwa ni dharau kwa mahakama.Dharau hii haivumiliki.Mahakama zetu,hivi sasa,zimeazimia kutenda haki.Mbunge Badwel amefikishwa Mahakamani jana na kusomewa mashtaka ya kuomba na kupoke rushwa.Amekuwa akizungumzwa kana kwamba ameshathibitishwa kuwa amepokea rushwa.Hii si haki jamani.

Kimsingi,baada ya mwenendo mzima wa kesi,Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ndiyo itakayosema kuwa Mbunge Badwel amepokea rushwa au la.Mbunge Badwel anaendelea kuwa Mshtakiwa hadi siku ya hukumu.Mahakama ziheshimiwe kwa utendaji wa haki...

Akili za kushikiwa hizi na Nape!
 
Mbunge wa Bahi(CCM) Omar Badwel hakupokea rushwa.Kusema Mbunge Badwel amepokea rushwa ni dharau kwa mahakama.Dharau hii haivumiliki.Mahakama zetu,hivi sasa,zimeazimia kutenda haki.Mbunge Badwel amefikishwa Mahakamani jana na kusomewa mashtaka ya kuomba na kupoke rushwa.Amekuwa akizungumzwa kana kwamba ameshathibitishwa kuwa amepokea rushwa.Hii si haki jamani.

Kimsingi,baada ya mwenendo mzima wa kesi,Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ndiyo itakayosema kuwa Mbunge Badwel amepokea rushwa au la.Mbunge Badwel anaendelea kuwa Mshtakiwa hadi siku ya hukumu.Mahakama ziheshimiwe kwa utendaji wa haki...
Bila shaka yoyote wewe ndiye Mbunge mwenyewe, usijisafishe hapa mkuu... sasa mahala pa kujisafisha ni mahakamani...
 
tunashukuru ndugu msomi,na yule aliyempa tumwiteje maana huko mahakamani kazi yenu ni kutuchanganya na kutuibia sometimes
 
Mkuu VUTA-NKUVUTE mbona TAKUKURU wamesema wana ushahidi wa kutosha inakuwaje wewe unahukumu na kusaema mahakama iachwe iamue? Kusema kwamba mheshimiwa alipokea au hakupokea bila mahakama kuthibitisha unajua kama si sahihi?
sijakupata bado mi nadhani unaingilia uhuru wa mahakama hapo.
Mbunge wa Bahi(CCM) Omar Badwel hakupokea rushwa. Kusema Mbunge Badwel amepokea rushwa ni dharau kwa mahakama.
Dharau hii haivumiliki. Mahakama zetu,hivi sasa,zimeazimia kutenda haki.

Mbunge Badwel amefikishwa Mahakamani jana na kusomewa mashtaka ya kuomba na kupoke rushwa. Amekuwa akizungumzwa kana kwamba ameshathibitishwa kuwa amepokea rushwa.Hii si haki jamani.

Kimsingi, baada ya mwenendo mzima wa kesi, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ndiyo itakayosema kuwa Mbunge Badwel amepokea rushwa au la.Mbunge Badwel anaendelea kuwa Mshtakiwa hadi siku ya hukumu. Mahakama ziheshimiwe kwa utendaji wa haki...
 
Last edited by a moderator:
Unasumbuka bure hapa, jipangeni na mawakili wenu mukamtetee mahakamani!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Unajichanganya mwenyewe. Tazama Heading yako, eti Hakupokea rushwa. Sasa wewe nani aliyekupa mamlaka ya Mahakama kumpronounce Mbunge huyo kuwa "Hakupokea" rushwa? Mbona na wewe unaingilia uhuru wa Mahakama? Kama amekuuma sana nenda ukawe shahidi yake Mahakamani. Ama kweli Mkuki ni maalum kwa Nguruwe a.k.a. Noah tu, kwako wewe "binadamu" mchungu!
 
Nenda pale kisutu weka vipaza sauti uyapayuke haya unayoyapayuka. Huku hawakusikii.
 
Mbunge wa Bahi(CCM) Omar Badwel hakupokea rushwa. Kusema Mbunge Badwel amepokea rushwa ni dharau kwa mahakama.
Dharau hii haivumiliki. Mahakama zetu,hivi sasa,zimeazimia kutenda haki.

Mbunge Badwel amefikishwa Mahakamani jana na kusomewa mashtaka ya kuomba na kupoke rushwa. Amekuwa akizungumzwa kana kwamba ameshathibitishwa kuwa amepokea rushwa.Hii si haki jamani.

Kimsingi, baada ya mwenendo mzima wa kesi, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ndiyo itakayosema kuwa Mbunge Badwel amepokea rushwa au la.Mbunge Badwel anaendelea kuwa Mshtakiwa hadi siku ya hukumu. Mahakama ziheshimiwe kwa utendaji wa haki...

Ni mjomba wako? Mie naona alipokea bahasha yenye rushwa ndani yake.
 
Mleta mada, pengine maneno sahihi yangekuwa "mbunge wa CCM ameshtakiwa kwa kupokea rushwa, hivyo anakuwa mshtakiwa'. Lakini kusema kuwa hakupokea rushwa tayari ni wewe unakuwa umeota hukum kuwa 'hana mashtaka'. Au hukumu tayari imeshatolewa?
 
Mkuu VUTA-NKUVUTE mbona TAKUKURU wamesema wana ushahidi wa kutosha inakuwaje wewe unahukumu na kusaema mahakama iachwe iamue? Kusema kwamba mheshimiwa alipokea au hakupokea bila mahakama kuthibitisha unajua kama si sahihi?
sijakupata bado mi nadhani unaingilia uhuru wa mahakama hapo.
A person is pressumed innocent until proved guilty...
 
Unajichanganya mwenyewe. Tazama Heading yako, eti Hakupokea rushwa. Sasa wewe nani aliyekupa mamlaka ya Mahakama kumpronounce Mbunge huyo kuwa "Hakupokea" rushwa? Mbona na wewe unaingilia uhuru wa Mahakama? Kama amekuuma sana nenda ukawe shahidi yake Mahakamani. Ama kweli Mkuki ni maalum kwa Nguruwe a.k.a. Noah tu, kwako wewe "binadamu" mchungu!
Mtu atachuliwa hana hatia hadi ikithibitika vinginevyo...
 
Back
Top Bottom