Mbunge: SGR itajengwa kwa miaka 81

Mbunge: SGR itajengwa kwa miaka 81

Hitla ujerumani ni shujaa acha upunga
Hitler kwa miundombinu aliyojenga ujerumani ndani ya miaka mitatu ya utawala wake kwa uongozi wa sasa hivi wa ujerumani ilihitajika miaka 30 kujenga miundombinu hiyo,lakini Hitler katika historia huko huko Ujerumani na duniani kwa ujumla anadharaulika sana kama kiongozi wa hovyo wa ujerumani kuwahi kutokea.Unapaswa kujua kuwa kuongoza watu siyo kujenga miundombinu!
 
Mbona wewe hujafa kwaio corona
Sasa ameua akina Ben saaanane,maiti za watu zilikuwa zinaokotwa kwenye viroba baharini,amenyang'anya watu haki zao za kuchagua viongozi wanaowataka kwa kuiba kura,watu wasiokuwa na hatia wamebambikiwa kesi za kuhujumu uchumi na kuozea ndani,ameua watu kwa Corona kupitia leadership negligence,watu wamekuwa masikini kwa sababu ya kufunga biashara zao kwa sababu ya sera mbovu zake za uchumi,ametumia jeshi la polisi kunyanyasa watu na kadhalika je,hii siyo laana ni nini?
 
Hitler kwa miundombinu aliyojenga ujerumani ndani ya miaka mitatu ya utawala wake kwa uongozi wa sasa hivi wa ujerumani ilihitajika miaka 30 kujenga miundombinu hiyo,lakini Hitler katika historia huko huko Ujerumani na duniani kwa ujumla anadharaulika sana kama kiongozi wa hovyo wa ujerumani kuwahi kutokea.Unapaswa kujua kuwa kuongoza watu siyo kujenga miundombinu!
Owky, sasa umekubali kwamba miundo mbinu na miradi ilokamilika ipo.!!!!!
Kama Bado una wasiwasi, weka hapa namba yako ya simu tafadhali, nikutafute, nataka nikuoneshe miradi iliyokamilika ,
ya huyu inaemwita fisadi na mwizi. Nchi nzima ntakupeleka kwa gharama yangu..
 
Sasa ameua akina Ben saaanane,maiti za watu zilikuwa zinaokotwa kwenye viroba baharini,amenyang'anya watu haki zao za kuchagua viongozi wanaowataka kwa kuiba kura,watu wasiokuwa na hatia wamebambikiwa kesi za kuhujumu uchumi na kuozea ndani,ameua watu kwa Corona kupitia leadership negligence,watu wamekuwa masikini kwa sababu ya kufunga biashara zao kwa sababu ya sera mbovu zake za uchumi,ametumia jeshi la polisi kunyanyasa watu na kadhalika je,hii siyo laana ni nini?
Laana kwako,
Unaemkejeli kiongozi aliewekwa madarakani na Mungu..
 
Alisifiwa na watu wapumbavu kama wewe, samahani kama umekwazika kuambiwa ukweli.
Mpumbavu amesema moyoni mwake. hakuna Mungu(zaburi 53:1)
Na yeyote anaejua kwamba Kuna Mungu, hawezi akamdharau kiongozi aliewekwa madarakani na huyo Mungu.

Warumi 13 : 1
"Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu. "

Warumi 13 : 2
" Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu. "

Haya ndugu , jitafakari usahihi wako kutuita wenzio wapumbavu,.
Ila kwa kuwa umetanguliza kuniomba msamaha, nimekusamehe..
 
Shida sio unafiki shida ni pale kiongozi anapopenda kusifiwa tu na ukimkosoa unaambiwa umetumwa na mabeberu. Mtu kama huyo ni kumsifia tu hamna namna.

Hapo tatizo ni magu.
Kama Ni shida, Basi imeondoka.
Wataka irudiiii??
 
Kumbuka: “the devil is in the details”. Kwenye miradi ya maendeleo ya nchi hakuna kitu kama “kuona kwa macho”. Wapiga propaganda wa Magufuli walijenga hiyo hoja vichwani mwa Watanzania wengi eti “kazi zake tunaziona”. That’s all hogwash.

Kwanza, hakuna aliyediriki kuonyesha vipaumbele vya kweli vya kitaifa kulingana na mahitaji na fedha zilizopo. Pili, Magufuli alizima uwazi kwenye miradi na uhuru wa kujadili chochote kuhusu mustakabali wa taifa. Sasa hapo nani alikuwa akijua kama tunapata thamani ya pesa yetu au tunafisidiwa kiasi gani?

Sasa ndio CAG aliyemuajiri mwenyewe toka TANROADS ameanza kuanika wizi uliokuwa ukiendelea chini ya utawala ule. Macho gani yangeweza kuona hizo “kazi zake” za kutuibia?
Katika awamu ya JPM mbona mimi sijaona wizi bali makosa kazini tu? Huyo CAG anahangaika na vijisent vya mboga tu hivyo. Wizi ulikuwa wakati wa JK bwana acha kabisa!
 
Kusema ndege zinafaida wakati si kweli. Hiyo ilikua propaganda.
Siyo propaganda,
Ni maona ambayo yalikuwa Bado kutimia.
Kwani huwezi kuanzisha biashara ukapata hasara na Bado ukawa unaona faida kubwa katika siku au miezi au miaka ijayo., Na ukakomaa na hiyo biashara ungali Bado wapata hasara mpaka kieleweke...!!
Au mwalimu mkuu wako hakukufundisha growth curve ya
Biashara!!!
 
Serikali haikuwahi kumkamata mtuhumiwa yeyote wala kumpeleka mtuhumiwa yeyote mahakamani kuhusiana na mauaji haya kitu ambacho kinajenga na kutoa ushahidi wa mazingira kuwa mhusika alikuwa ni serikali ya Magufuli.
Duh,!!!!!!!!!!!
Hoja dhaifu Sana.
Kwa hiyo wahusika wote wa mauaji katika serikali mbalimbali za hapa nchini na duniani hukamatwa??????
Na hukamatwa muda gani baada ya tukio,
Pengine muda Bado, tuendelee kusubiri huenda wakakamatwa!!!!
 
Siyo propaganda,
Ni maona ambayo yalikuwa Bado kutimia.
Kwani huwezi kuanzisha biashara ukapata hasara na Bado ukawa unaona faida kubwa katika siku au miezi au miaka ijayo., Na ukakomaa na hiyo biashara ungali Bado wapata hasara mpaka kieleweke...!!
Au mwalimu mkuu wako hakukufundisha growth curve ya
Biashara!!!
Ruhusuni Unga ili ndege zenu zijae laa sivyo Shirika linaenda kufilisika
 
Aliiba na miradi ilienda umeme kila kijiji ulienda , Elimu bure ilipatikana vituo vya afya nchi nzima vilijengwa na barabara za mataa mitaani uswahilini zilijengwa nk hakuna kilichosimama sababu ikiwa moja kuu Magufuli alisema nchi yetu ni tajiri

Fikiria yote yaliwezekana pamoja na CAG kusema kuna wizi!!! Midege ilinunuliwa Cash na maneli kibao yalijengwa .Sasa serikali iliyopo wasio wezi changamoto iko kwao.Je waweza kufanya mambo makubwa kwa nchi kama aliyofanya huyo wanayemwita fisadi papa na kibaka Magufuli? tusubiri muda ni mwalimu mzuri tutajua kati ya fisadi papa magufuli na watakatifu wao nani zaidi.Majaji kwenye hili watakuwa wananchi wanyonge walio wengi sio CAG na viripoti vyake vya kwenye vikaratasi vya toilet papers
Kawahiyo CAG ni muongo? ccm hamueleweki kwakweli! Pole na maombolezo
 
Kumbuka: “the devil is in the details”. Kwenye miradi ya maendeleo ya nchi hakuna kitu kama “kuona kwa macho”. Wapiga propaganda wa Magufuli walijenga hiyo hoja vichwani mwa Watanzania wengi eti “kazi zake tunaziona”. That’s all hogwash.

Kwanza, hakuna aliyediriki kuonyesha vipaumbele vya kweli vya kitaifa kulingana na mahitaji na fedha zilizopo. Pili, Magufuli alizima uwazi kwenye miradi na uhuru wa kujadili chochote kuhusu mustakabali wa taifa. Sasa hapo nani alikuwa akijua kama tunapata thamani ya pesa yetu au tunafisidiwa kiasi gani?

Sasa ndio CAG aliyemuajiri mwenyewe toka TANROADS ameanza kuanika wizi uliokuwa ukiendelea chini ya utawala ule. Macho gani yangeweza kuona hizo “kazi zake” za kutuibia?
Owky..
Kwanza naomba niulize..
Hivi CAG anapokagua hesabu akakuta hasara, Ni hesabu hizo anazokagua zinazomwonesha kwamba hasara imetokana na wizi,!!
Tena Ni hesabu tu hizo zinazomwonesha kwamba huu wizi kaufanya mtu Fulani.

Pili, wewe pia Kama huoni kazi zake , weka hapa namba yako ya simu , nikutafute , nikutembeze
nchi nzima kukuonesha kazi hizo,
Tuone Kama utarudi hapa kuja kupinga...
 
Kwa namna tunavyohudumia mradi huo kama tukiendelea kwa mfumo huo tutajenga kwa miaka 81 kwa nchi nzima ikiwa miaka mitano tumejenga kwa kilameta 300 na kilometa zilizosalia tutazijenga kwa miaka 81 hii katika nchi ambayo inapambana kujenga uchumi kasi hiyo haikubaliki na imegharimu Sh11 trilioni ambazo ni ‘hido investiment’ kwa sababu hatutaanza kutumia leo.,”amesema

Mbunge anakubaliana na mhandisi mbobevu wa TRC, ingawa yeye mbunge hakubaliani ni miaka 15 Mhandisi: Reli ya SGR mpya kuchukua miaka 15 kumalizika
 
Hatuwezi kuonesha humu jamii forum,!!!!?
Nipe namba yako ya simu, nikutafute, nikuzungushe nchi nzima nikikuonesha miradi hiyo, ikiwemo ya chato, tuone Kama utarudi humu jamii forum kuendelea kubisha....
Acha bange wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom