nakarosa
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 327
- 349
Hitla ujerumani ni shujaa acha upunga
Hitler kwa miundombinu aliyojenga ujerumani ndani ya miaka mitatu ya utawala wake kwa uongozi wa sasa hivi wa ujerumani ilihitajika miaka 30 kujenga miundombinu hiyo,lakini Hitler katika historia huko huko Ujerumani na duniani kwa ujumla anadharaulika sana kama kiongozi wa hovyo wa ujerumani kuwahi kutokea.Unapaswa kujua kuwa kuongoza watu siyo kujenga miundombinu!