Mbunge: SGR itajengwa kwa miaka 81

Mbunge: SGR itajengwa kwa miaka 81

Sasa hii evidence yako magu hapo anaingia vipi??
Wewe MPUUZI kweli kweli, kwani Rais alikuwa nani? Kwanini alifumbia macho huo UHARAMIA na ukaendelea kutamalaki nchi nzima? Huko CCM kumesheheni WAPUMBAVU tupu.
 
Nami nina wasiwasi sana na uhai wa miradi ya kimkakati maana Hayati hatukujua anatoa wapi hela za kuifadhili, alidai tu ANAWABANA MAFISADI sasa ameenda si wananchi wala viongozi tupo njiapanda tunaifanyaje hii makitu yake!
Muulizeni CAG.
Anajua pesa ilitoka wapi,
Ila aliloona la maana kusema Ni kuwa pesa imeibwa!!!!
 
Owky, sasa umekubali kwamba miundo mbinu na miradi ilokamilika ipo.!!!!!
Kama Bado una wasiwasi, weka hapa namba yako ya simu tafadhali, nikutafute, nataka nikuoneshe miradi iliyokamilika ,
ya huyu inaemwita fisadi na mwizi. Nchi nzima ntakupeleka kwa gharama yangu..
Hebu acha upumbavu wewe, umeshindwa kuiorodhesha hapa utaweza kumtembeza huko kwenye miradi hewa? Weka wewe namba yako hapa ili tukupigie, Pumbavu.
 
Mwenye bangi wear usiekuwa na hoja..
CAG ametuonesha WIZI WA KUTISHA uliofanyika chini ya serikali ya Mwendazake, wewe kwani huitambui hiyo ripoti? Lazima utakuwa mnufaika wa huo wizi, au pengine ni nyumba ndogo ya hao waliokuwa wanatafuna kodi zetu. Pumbavu.
 
Hebu acha upumbavu wewe, umeshindwa kuiorodhesha hapa utaweza kumtembeza huko kwenye miradi hewa? Weka wewe namba yako hapa ili tukupigie, Pumbavu.
Mpumbavu amesema moyoni mwake kwamba hakuna Mungu.
Anaeamini uwepo wa Mungu , hawezi kumkejeli kiongozi aliewekwa madarakani na Mungu, maana ameagizwa kumtii..
 
Mpumbavu amesema moyoni mwake kwamba hakuna Mungu.
Anaeamini uwepo wa Mungu , hawezi kumkejeli kiongozi aliewekwa madarakani na Mungu, maana ameagizwa kumtii..
Sasa kwanini hutaki kukubali kwamba kazi ya Mungu haina makosa? Jiwe hatunaye tena, jina la Bwana lihimidiwe.
 
Waafrika ni bure kabisa.
Yani mpaka machuma ya reli tunanunu toka nje halafu reli yenyewe ni kwa ajili ya kwenda Rwanda ambao wataweka kituo kwa ajili ya soko kubwa la Kongo.

Pesa zote zinazotumika kwenye miradi mikubwa zingeanza kwa kuwaita wawekezaji wa viwanda vya chuma na pia mitambo ya kusafisha dhahabu.
Ujenzi wa kulazimisha kwa kuwakamua wanyonge ni mgumu sana.


Nilitegemea wabunge waliokuwa wamemufaika na sera za ugandamizaji wa haki kwenye chaguzi wakisema kuwa wapunguziwe mishahara na posho zao ili miradi aloyoiacha Mtangulizi wa Mhe
. Samia inakamilika ili 2025 washinde kwa haki.
 
Alikuwa wapi alishauri mapema mpaka SGR imefikia iliyofikia leo ndiyo ameshauri?.....Tuna qabunge wasielewa kabisa wanafanya nini Bungeni mambo kama haya bora wajinyamazie kabisa.
Pumzika JPM.
 
Waafrika ni bure kabisa.
Yani mpaka machuma ya reli tunanunu toka nje halafu reli yenyewe ni kwa ajili ya kwenda Rwanda ambao wataweka kituo kwa ajili ya soko kubwa la Kongo.

Pesa zote zinazotumika kwenye miradi mikubwa zingeanza kwa kuwaita wawekezaji wa viwanda vya chuma na pia mitambo ya kusafisha dhahabu.
Ujenzi wa kulazimisha kwa kuwakamua wanyonge ni mgumu sana.


Nilitegemea wabunge waliokuwa wamemufaika na sera za ugandamizaji wa haki kwenye chaguzi wakisema kuwa wapunguziwe mishahara na posho zao ili miradi aloyoiacha Mtangulizi wa Mhe
. Samia inakamilika ili 2025 washinde kwa haki.

Nilitegemea wabunge waliokuwa wamemufaika na sera za ugandamizaji wa haki kwenye chaguzi wakisema kuwa wapunguziwe mishahara na posho zao ili miradi aloyoiacha Mtangulizi wa Mhe
. Samia inakamilika ili 2025 washinde kwa haki.
Hapo nimekuelewa sana Mkuu.
Pumzika JPM
 
Owky, sasa umekubali kwamba miundo mbinu na miradi ilokamilika ipo.!!!!!
Kama Bado una wasiwasi, weka hapa namba yako ya simu tafadhali, nikutafute, nataka nikuoneshe miradi iliyokamilika ,
ya huyu inaemwita fisadi na mwizi. Nchi nzima ntakupeleka kwa gharama yangu..
Nimekuambia kwamba yeye kujenga miundombinu haimfanyi kuwa kiongozi bora wala kiongozi wa kukumbukwa.Hakuna kiongozi duniani ambae aliwahi kujenga miradi mingi kama Hitler lakini leo hii anadharaulika kuliko viongozi wote ambao waliwahi kutokea katika dunia hii.Uongozi siyo kujenga miradi.Kwa hiyo kumsifia Magufuli kwa sababu ya jujenga miradi ni upumbavu wa hali ya juu sana.
 
WABUNGE WETU MNAOTOA USHAURI JUU YA MIRADI ILIYOANZISHWA WAKATI WA HAYATI JPM TAFAKARINI SANA KABLA YA KUONGEA.

Nimekuwa nikifuatilia Bunge kwa muda sasa ila ninachokiona kinasikitisha sana. Wabunge wengi wanaoshauri wanatoa ushauri kama hawakuwepo kabisa Tanzania na ndiyo wanaona yanayotokea.

Ni Wabunge wachache sana wanaoishauri Serikali katika namna inayoonesha kuwa na wao ni sehemu ya hali ilivyo na kwa maana hiyo wanatoa michango ambayo angalau Wananchi tuliowatuma tunaona itatusaidua.

Mbunge anaposimama na kusema mradi wa kuzalisha umeme wa maji ni hasara na itachukua miaka mingi kuleta faida. Raia huku chini tunajiuliza alikuwa wapi asiyaseme hayo mapema?.Ikumbukwe wabunge ni sauti ya raia juu ya usimamizi wa raslimali za Taifa na ikiwa hawatoi ushauri kwa wakati sahihi wanasubiri hasara ndiyo wanatoa ushauri "reactive measures" ni jambo linalokatisha tamaa sana.

Mh. Humphrey Polepole ameshauri vizuri sana kuwa Wabunge wakumbuke Wananchi walilia kuomboleza kifo cha aliyekuwa Rais wa JMT Dk. John Pombe Joseph Magufuli na wanaweza wakalia pia na baadhi ya wabunge. Hili ni jambo ambalo lipo wazi kabisa kuwa wabunge wetu wanapaswa kujitathmini.

Tumewachagua ili kuwa sauti yetu katika ulinzi na usimamizi wa raslimali za Umma na siyo kushangilia hasara na kutoa ushauri ambao kwa kweli mlipaswa kuutoa mapema kabla ya hasara kutokea " proacttive measures".

Kwa kiasi kikubwa hatuna imani na uwakilishi wa wabunge wengi kutokana mambo yanaendelea hususani mara baada ya ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Sertikali kusomwa. Ni jambo linalotia fedheha sana kwa Mbunge kuponda miradi ambayo imegharimu kodi kodi za wanachi ambayo kwa kweli yeye pia ni sauti za Wananchi hao.

Wafanyakazi wa Nchi hii walilipwa mishahara isiyoendana na hitaji la wakati ili miradi hiyo ifanikiwe na tegemeo kubwa lilikuwa ni sauti yao Bungeni kupitia Wabunge wao. Leo kweli Mbunge anasimama tena kwa nguvu kabisa anasema mradi ambao umeshafika hatua kadhaa na umegharimu matrilioni ya pesa ukatishwe?.....alikuwawapi siku zote?

Hatukuwachagua kwenda Bungeni kupitisha kila hoja. Tatizo kuna utamaduni wa ushawishi wanaojizoesha wakiwa pamoja na kuamini kukubaliana kila jambo ndiyo njia nzuri ya utekelezaji. Mathalani ni wabunge ndiyo waliopitisha sheria ya makato na mabadiliko yake kwa wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu. Walipitisha hoja hiyo mkagonga meza kama kawaida ..wha...wha..wha....wanufaika wakaanza kukatwa asilimia 15% kibabe huku kukiwa na tozo nyingine kama riba ya ucheleweshaji ( penalty fee) 10%, tozo ya thamani ya pesa (value rention fee"VRF" ) na tozo za Kiusimamizi/Utawala ( Administration fee). Ni nyie (Wabunge) mlioshindwa kupaza sauti mkakubaliana haya yote yakapita, lakini ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ilipoonesha kuwa mabadiliko hayo hayakuzingatia haki bado mnachangia tena na kugonga meza kana kwamba nakufahamu kabisa kilichokuwa kikiendelea.

Tunajiuliza mnayafanya haya yote kwa maslahi ya nani?. Leo karibu kila mradi umeguswa na harufu mbaya ya ubadhirifu na katika watu ambao kwa kweli wanapaswa kuwajibika na siyo kulalamika au kumlaumu mtu yeyote yule ni wabunge Ni kama kuna namna ya kujivua na kusukuma lawama kwa Mwendazake huku mkisahau ulikuwa wajibu wenu na wajibu wenu wa sasa ni upi.

Kauli mbu ya Mheshimiwa Rais SSH, ya "KWA NIABA YA JMT, KAZI IENDELEE" inatutaka kuacha kulalamika na kitafuta mtu wa kumsukumia lawama na badala yake inatutaka kuendeleza mazuri yote yaliyoachwa na Mwendazake.
..................
 
Serikali au jeshi la police mkuu wangu? Tusichanganye mambo bro.... Hizi kesi zipo police na zinashughulikiwa na police, apa labda mkuu wa jeshi Saimoni Siro ndo atatujibu haya ila iyo evidence hakuna sehemu imemtaja magu!!! Magu alikuwa ni mkuu wa nchi lakini anawasaidizi wake sasa issue zingine zinaishia kwa wakuu wa idara jamaa angu!!!! Wanaokufa ni wengi nakupotea hao ni unaowajua wewe lakini tukisema kesi zote magu ndo muhusika sio sawa brother
Unapodai kuwa Magufuli hahusiki katika mauaji hayo kwani Uhuru Kinyata huyu Rais wa Kenya wa sasa hivi alivyoshitakiwa the hugue kwa makosa ya mauaji wakati wa uchaguzi yeye akiwa Rais kwani ni yeye aliingia mitaani kuua watu?
 
Pengine raisi mshamba ametufaa zaidi kuliko raisi mjanja
Mjanja..
Anawafaa nyie mnaojiita wanyonge. Na ndio maana kuna mdau mmoja amedadavua sifa zenu nyie wanyonge.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom