Huduma ipi iliyoshindwa kupelekwa?Mbunge wa Handeni Mjini CCM, Reuben Kwagilwa, ameishauri Wizara ya Fedha na Mipango, waangalie namna ya kufadhili miradi mikubwa kwa mfumo wa dhamana ya miundombinu ‘infrastructure bond’ ili kuiwezesha Serikali kutoa huduma za wananchi kila siku.
Amesema isipofanya hivyo mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa wa SGR utachukua miaka 81 kukamilika kwakuwa mpaka sasa hata kilometa 300 bado hazijakamilika.
Kwagilwa ametoa ushauri huo jana bungeni wakati akichangia mjadala wa mpango wa tatu wa maendeleo wa kitaifa kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia 2021/22 - 2025/26,
“Standard Gage Railway tunayoijenga ukijumlisha zile njia tunazotakiwa kujenga ni kilomita 4886 hapo naongelea zile njia tu, siongelei mahala ambapo reli huwa zinapishana. mpaka sasa tumeshajenga kipande kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro kilometa 300 na tunaendelea kipande cha Morogoro Makutupora kilometa 422 lakini tuko upande mwingine wa Isaka na Mwanza kilometa kilometa 249,
Kwa namna tunavyohudumia mradi huo kama tukiendelea kwa mfumo huo tutajenga kwa miaka 81 kwa nchi nzima ikiwa miaka mitano tumejenga kwa kilameta 300 na kilometa zilizosalia tutazijenga kwa miaka 81 hii katika nchi ambayo inapambana kujenga uchumi kasi hiyo haikubaliki na imegharimu Sh11 trilioni ambazo ni ‘hido investiment’ kwa sababu hatutaanza kutumia leo.,”amesema
Ameongeza “Serikali inatakiwa kujifunza na kuondokana na mfumo wa kizamani wa kufadhili miradi mikubwa kwa sababu inajipa pressure kubwa halafu inashindwa kupeleka huduma za kila siku kwa wananchi wake” amesema
The dead can't talkNatamani JPM aamke angalau kwa saa moja ili awaone watu waliokuwa wakimshangilia na kumsifia, then aende uko alipo.
Maisha bila ya unafiki hayaendi kabisa huku Africa.
Wewe ndiyo una laana wanaume wa wabeligiji wanakulisha na 071 yako wanakulaMagufuli alikuwa na laana!
🖕🖕🖕Wewe ndiyo una laana wanaume wa wabeligiji wanakulisha na 071 yako wanakula
I know that but hebu tupunguze unafiki sisi wa tz 🇹🇿The dead can't talk
Mkuu, taratibu basi, aliyeyasema hayo ni mbunge wa CCMWewe ndiyo una laana wanaume wa wabeligiji wanakulisha na 071 yako wanakula
Misukule wa Mwendazake huyu... Huduma unazopata wewe wananchi hawapati..Huduma ipi iliyoshindwa kupelekwa?
Huyu naye ni mjinga mjinga
Kwaivo Ruben Kwagilwa Mb. wa Handeni CCM amegeuka kuwa ndiye Tundu Lissu?Wewe ndiyo una laana wanaume wa wabeligiji wanakulisha na 071 yako wanakula
Angekuwepo Magufuli huo huo mradi ungekamilika kwa muda mfupi .Ardhi ya Dar mpaka morogoro ina changamoto nyingi kwanza ni mchanga ardhi yake sio ngumu pili ni mito mingi na ardhi tope nyingi lakini ukitoka morogoro ukiingia Dodoma kwenda mbele ardhi ngumu unaenda spidi ya kufa mtu kujengaMagufuli alikuwa na laana!
Sasa angekuwepo Magufuli mradi ungekamilika kwa muda mfupi kivipi wakati Magufuli alikuwa ni fisadi,mwizi na mzembe wa kusimamia rasilimali za uma?Umesoma ripoti ya CAG?Umeona jinsi alivyokuwa anaficha hasara ambayo ATCL ilikuwa inatengeneza na kutangazia uma kuwa ATCL inatengeneza faida lukuki?AngekuwepoMagufuli huo huo mradi ungekamilika kwa muda mfupi .Ardhi ya Dar mpaka morogoro ina changamoto nyingi kwanza ni mchanga ardhi yake sio ngumu pili ni mito mingi na ardhi tope nyingi lakini ukitoka morogoro ukiingia Dodoma kwenda mbele ardhi ngumu unaenda spidi ya kufa mtu kujenga
Huyo mbunge hayuko sahihi hakuangalia hali ya ardhi alipofanya hizo calculations anafikiri ardhi zote ziko sawa na kipande hicho cha morogoro na Dar
Magufuli alikomaa waanze kwanza sehemu korofi kipande cha Dar na Morogoro akijua wakimaliza hicho huko mbele itakuwa spudi kali ya ujenzi
Wewe Mchaga umeharibiwi na tabia yako ya kuchezea topeMagufuli alikuwa na laana!
Nipeni "Reuben Kwagilwa" awe mbunge wenu hapa Handeni mjini.Mbunge wa Handeni Mjini CCM, Reuben Kwagilwa, ameishauri Wizara ya Fedha na Mipango, waangalie namna ya kufadhili miradi mikubwa kwa mfumo wa dhamana ya miundombinu ‘infrastructure bond’ ili kuiwezesha Serikali kutoa huduma za wananchi kila siku.
Amesema isipofanya hivyo mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa wa SGR utachukua miaka 81 kukamilika kwakuwa mpaka sasa hata kilometa 300 bado hazijakamilika.
Kwagilwa ametoa ushauri huo jana bungeni wakati akichangia mjadala wa mpango wa tatu wa maendeleo wa kitaifa kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia 2021/22 - 2025/26,
“Standard Gage Railway tunayoijenga ukijumlisha zile njia tunazotakiwa kujenga ni kilomita 4886 hapo naongelea zile njia tu, siongelei mahala ambapo reli huwa zinapishana. mpaka sasa tumeshajenga kipande kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro kilometa 300 na tunaendelea kipande cha Morogoro Makutupora kilometa 422 lakini tuko upande mwingine wa Isaka na Mwanza kilometa kilometa 249,
Kwa namna tunavyohudumia mradi huo kama tukiendelea kwa mfumo huo tutajenga kwa miaka 81 kwa nchi nzima ikiwa miaka mitano tumejenga kwa kilameta 300 na kilometa zilizosalia tutazijenga kwa miaka 81 hii katika nchi ambayo inapambana kujenga uchumi kasi hiyo haikubaliki na imegharimu Sh11 trilioni ambazo ni ‘hido investiment’ kwa sababu hatutaanza kutumia leo.,”amesema
Ameongeza “Serikali inatakiwa kujifunza na kuondokana na mfumo wa kizamani wa kufadhili miradi mikubwa kwa sababu inajipa pressure kubwa halafu inashindwa kupeleka huduma za kila siku kwa wananchi wake” amesema
Ipi? Hiyo mlioiua?. huwezi ukaanzisha Mega Projects kubwa tatu wakati wewe ni Zoflehali uling'ata bila kujua kama utameza kalagabaho Waturuki wanataka mkopo wao na riba kubwa Walipeni.kushirikisha sekta binafsi