Quaresma Fai
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 592
- 635
Huna macho ya kuona,Aliyesema tuna Raisi Mshamba hakukosea... Yale Masifa ya Mwendazake sijaona Mradi ulioisha zaidi ya Kuchangishwa Madawati
Hata ivyo palikuwa na miaka mitano Tena Kama Mungu angempa angefanya zaidi ya hayo pengine ungeweza kuona,
Haya kakwachia sasa, tuone nawe utafanya Nini.
Unafikiri watu walimsifia bureee..