Mbunge Serukamba atoa maoni kuhusu bomu la Arusha

Mbunge Serukamba atoa maoni kuhusu bomu la Arusha

+Smile & South Star - Now that you are gone
+Nas-Just a Monent

Hahaaa..ni mtutsi..kwao kumwaga damu ni jadi yao..blood thirsty ethnic group. Serikali yetu iwe makini na watu wanaopewa madaraka ktk nchi yetu hii.
 
Shame on him. Huyu jamaa hajitambui kabisa aisee! Hii ni comment gani kutoka kwa kiongozi kama huyu!
 
Damu ya watu iliyomwagika bila hatia haitaacha kuwaandama mabazazi hawa milele. Iko siku Mungu atailipia dhidi yao. Shame on him!
 
Yaani yeye haoni kuwa kuna msiba wa kichama na kitaifa; walipa kodi na mapigaji kura ambao si lazima wawe na itikadi yoyote ya kisiasa wamepoteza maisha wakiwa wanalindwa na serikali; Serukamba has a very stupid sense of humor! Duh sijui mkuu wa kaya huwa anawatoaga wapi hawa watu waliokosa weledi katika kushirikisha bongo! Well, isishangaze sana maana nafikiri mkulu katokea huko huko!
 
Hivi hakuna uzi uliowahi kujadili huyu jamaa sijui mha akikisiwa kuwa WAZIRI MKUU WA EL? Mwenye uzi huo tutupieni hapa tumkumbuke vema.

Kwa maoni yangu msibani ni watani tu wanaruhusiwa kutoa maneno kama hayo tena kabla mwili haujawekwa kaburini. Kwa mwenye akili timamu kutoa maneno hayo lazima kufikiri mara mbili kama kweli ni sawa sawa katika uongozi. Gordon Brown yalimkuta na ninyi waKigoma angalieni mtajawakilishwa na ...ajinukuu mwenyewe kwa spika kale ka neno kake ka f...u!
 
CCM wote wametenda dhambi.Hivyo basi, wanatakiwa watubu.
 
Huyu jamaa ni mambwaa kasoro tails.
 
Masaburi hakukosea kuhusu ile kauli yake.
 
Nafikiri private candidates kwenye katiba mpya watatusaidia kuondoa watu kama hawa mjengoni ................ Hawana faida kwa nchi.

Imagine watu wamekufa tena wengine ni watoto halafu bado watu wanasherekea ............. je angekufa Lema au Mbowe si ndiyo wangesherekea kabisa.

Kwa jinsi wanavyofanya sidhani hata kwenye misiba ya wana CDM kamavile aw Regia (RIP) nafikiri wana CCM waliokuwa pale walikuwa wanafurahia kimoyoni ................!!!
 
Nafikiri private candidates kwenye katiba mpya watatusaidia kuondoa watu kama hawa mjengoni ................ Hawana faida kwa nchi.

Imagine watu wamekufa tena wengine ni watoto halafu bado watu wanasherekea ............. je angekufa Lema au Mbowe si ndiyo wangesherekea kabisa.

Kwa jinsi wanavyofanya sidhani hata kwenye misiba ya wana CDM kamavile aw Regia (RIP) nafikiri wana CCM waliokuwa pale walikuwa wanafurahia kimoyoni ................!!!

Mawazo yake yako hapo, anachukulia kama kile kipigo ni ushindi wa kisiasa kwa chama chake, ndio maana anaona kama ni kitu cha kufurahisha yaani kusaka vipaji
 
attachment.php
"Limesibitisha" ndio kiswahili gani Mzee wa *** You??
 

Yeah, tunazidi kubaini vipaji vya machizi. Baada ya Serukambwa, chizi mwingine huyu hapa:

The Reallity is, Arusha is the closest place to Kenya - The best known athlets in the world. It is an oppurtunity to beat Kenyans if we put much efforts to those youths.

Serukamba might be right if you look into different perspectives!!.
 
Hivi huyu Serukamba ile issue yake ya kununua viungo vya albino iliishia wapi?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom