VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,899
- 580
Kupitia mtandao wake wa twitter,
Viongozi wetu awajitambui kabisa wala hawana sense of human, ameshindwa kusoma tukio?! CCM Kama chama discipline naona hakuna kabisa, wanaokota wapi Hawa watu wao? Ujasiri wa kuonge ujinga Kama huu unatoka wapi? Yaani Kama vile wanaona raha ya hivi vifo? Imenikera sana, kwa nchi wanazojali huyu Leo angefukuzwa kwenye chama na ubunge. Hatakuja na kuomba msamaha tena Kama alivyofanya kwenye Yale matusi yake bunge Business as usual, huyu ajipambu kabisa ni Kama yuko retarded vile
Naomba hii thread isiunganishwe ili watu wajionee viongozi wao ni wa namna gani
Viongozi wetu awajitambui kabisa wala hawana sense of human, ameshindwa kusoma tukio?! CCM Kama chama discipline naona hakuna kabisa, wanaokota wapi Hawa watu wao? Ujasiri wa kuonge ujinga Kama huu unatoka wapi? Yaani Kama vile wanaona raha ya hivi vifo? Imenikera sana, kwa nchi wanazojali huyu Leo angefukuzwa kwenye chama na ubunge. Hatakuja na kuomba msamaha tena Kama alivyofanya kwenye Yale matusi yake bunge Business as usual, huyu ajipambu kabisa ni Kama yuko retarded vile
Naomba hii thread isiunganishwe ili watu wajionee viongozi wao ni wa namna gani