Mbunge Sanga atema nyongo Bungeni

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,947
95,237
Hakika hakuna marefu yakakosa mwisho, iwe mwisho mwema au mbaya.

Leo hii ndani ya CCM wameanza kunyukana dhidi ya mipango mibovu ya kimaendeleo.

Msikilizeni mh Sanga halafu tujadili kwa pamoja hapa jukwaani.
 
Nimemsikiliza Mbunge Sanga na yule wa Morogoro sijui Aboud wamezungumzia mipango mibovu ya serikali yao. Mmevunja idara/kitengo cha mipango sasa nchi inaenda bila direction, sisikii tena mipongo wa miaka 15, 20 25 etc no strategic plan for the Country.

Wizara/Idara/Vitengo haziwasiliani, ni vurugu tupu. Shida uchaguzi ujao hakuna tena kingine uchaguzi ujao kambi ipi itashinga, maendeleo ya wananchi is secondary thing.

Mabadiliko hapana tutatoka madarakani. Ni shida hata kwa Rais alieko madarakani, Kinana amezungumza, ni shida.
 
Hakika hakuna marefu yakakosa mwisho,iwe mwisho mwema au mbaya.

Leo hii ndani ya ccm wameanza kunyukana dhidi ya mipango mibovu ya kimaendeleo.

Msikilizeni mh Sanga alafu tujadili kwa pamoja hapa jukwaani.View attachment 2412397
Duh...!. Ukisikia kitu kinachoitwa uzalendo sasa ndio huu. Baada ya wapinzani kukataliwa na wananchi uchaguzi wa 2020, nilikuwa na wasiwasi kuwa hatuna Bunge, bali tuna kamati ya chama fulani italayokutana na kujiita Bunge!. Nilihisi kukosekana kwa wabunge machachari kutalifanya Bunge kuwa doro!,

Je, kukosekana kwa baadhi ya wabunge makini, machachari bungeni, kumepunguza ari na msisimko wa vikao vya bunge?. hivyo nikaogopa kuwa Bunge lina hali mbaya Bunge jipya lina hali mbaya! Serikali itafanaje kuliokoa Bunge ili kuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni?
Kupitia wabunge kama hawa, then Bunge linachangamka.
P
 
Nimemsikiliza Mbunge Sanga na yule wa Morogoro sijui Aboud wamezungumzia mipango mibovu ya serikali yao. Mmevunja idara/kitengo cha mipango sasa nchi inaenda bila direction, sisikii tena mipongo wa miaka 15, 20 25 etc no strategic plan for the Country.

Wizara/Idara/Vitengo haziwasiliani, ni vurugu tupu. Shida uchaguzi ujao hakuna tena kingine uchaguzi ujao kambi ipi itashinga, maendeleo ya wananchi is secondary thing.

Mabadiliko hapana tutatoka madarakani. Ni shida hata kwa Rais alieko madarakani, Kinana amezungumza, ni shida.
Sijaelewa vizuri,ya Mbarali yanatakuwa kama ya Ngorongoro au?
 
Hakika hakuna marefu yakakosa mwisho,iwe mwisho mwema au mbaya.

Leo hii ndani ya ccm wameanza kunyukana dhidi ya mipango mibovu ya kimaendeleo.

Msikilizeni mh Sanga alafu tujadili kwa pamoja hapa jukwaani.View attachment 2412397
Haya BWana BWEGE wa kule Kule Kilwa alishawahi yatamka..!! Kwamba sisi hatutakuwepo mtabaki wenyewe mnanyukana..!! Muda wa kunyukana wao kwa wao umefika sasa..!!
 
Back
Top Bottom