Mbunge wa Iramba Mashariki-CCM-Salome Mwambu ni mgonjwa mahututi na amelazwa chumba cha wagonjwa mahututi-ICU.
Msemaji wa MNH Aminiel Aligaesha amesema kimsingi hali ya mbunge huyo siyo nzuri.Amelazwa hospitalini hapo tangia Julai 21.
Mbunge huyo anasumbuliwa na kisukari na shinikizo la damu.
Source: Nipashe Ijumaa.
Msemaji wa MNH Aminiel Aligaesha amesema kimsingi hali ya mbunge huyo siyo nzuri.Amelazwa hospitalini hapo tangia Julai 21.
Mbunge huyo anasumbuliwa na kisukari na shinikizo la damu.
Source: Nipashe Ijumaa.