Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Mbunge wa Arumeru Mashariki (CHADEMA), Mhe. Joshua Nassari, ametolea ufafanuzi kuhusiana na date zinazoonekana kwenye Video kuwa 2008 ni mwaka ambao kifaa kilitengenezwa.
"Video imeandikwa mwaka 2008 kwa kuwa ni mwaka kifaa kilitengenezwa, wakati nafanya ile kazi niliteseka sana kufuta na mnajua kuwa mimi sio mtu wa IT.
"Mwaka 2008 yule DAS anayeonekana alikuwa ni Mwanafunzi wa Sekondari, na huyo Mkurugenzi alikuwa Mtumishi wa Kada za chini alikuwa hajapata nafasi ya sasa.
Cha msingi ni kuwauliza hii sura ni ya kwako? Sauti na Ofisi ni yako?", alisema Joshua Nassari Mbunge wa Arumeru Mashariki.
Chanzo: Mwananchi
"Video imeandikwa mwaka 2008 kwa kuwa ni mwaka kifaa kilitengenezwa, wakati nafanya ile kazi niliteseka sana kufuta na mnajua kuwa mimi sio mtu wa IT.
"Mwaka 2008 yule DAS anayeonekana alikuwa ni Mwanafunzi wa Sekondari, na huyo Mkurugenzi alikuwa Mtumishi wa Kada za chini alikuwa hajapata nafasi ya sasa.
Cha msingi ni kuwauliza hii sura ni ya kwako? Sauti na Ofisi ni yako?", alisema Joshua Nassari Mbunge wa Arumeru Mashariki.
Chanzo: Mwananchi