Kimsingi siasa za kununua watu ni siasa za kishamba na zinatakiwa kupigwa vita kwa nguvu zote, kila chama kijenge makada wake kitumikie watu wakichague kwa ridhaa yao.
Nasari kulalamika kuwa watu wake wananunuliwa ni dalili za utoto na ushamba, tungemwona wa maana angewatimua hao walionunuliwa na kujenga vijana wapya wasafi.
Nasari kulalamika kuwa watu wake wananunuliwa ni dalili za utoto na ushamba, tungemwona wa maana angewatimua hao walionunuliwa na kujenga vijana wapya wasafi.