Lukuvi anasemaje?
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
RITZ; pole sana kamanda Nassari
RITZ; pole sana dogo janja
ameandikiwa rufaa aende muhimbili kwa matibabu zaidi, lakini pia hali ya arusha sio shwari ikiwemo hospital ya selian ambapo wanusalama wasiojitambulisha wamezagaa wakijaribu kuingia kwenye baadhi ya wodi na vurugu za polisi dhidi ya raia. Madaktari wameona dar ni bora zaidi. Ofisi ya bunge inaratibu matibabu.
Akiongea kwa shida sana nassari kasema.namshukuru mh mbatia alihangaika kuhakikisha bunge linaharakisha huduma hii na mh nyalandu aliyekuja hospitali kuniona na akaja arusha airport kunitakia safari njema.zaidi nawashukuru sana wananchi wa meru na arusha kwa maombi yao na viongozi wa cdm kunzia mkiti taifa kwa kunitia moyo.pengine ningeshakufa sasa,kila ninapokumbuka tukio naona imagination za kifo.shukurani pekee kwa mungu.
Akiongea kwa shida sana nassari kasema.namshukuru mh mbatia alihangaika kuhakikisha bunge linaharakisha huduma hii na mh nyalandu aliyekuja hospitali kuniona na akaja arusha airport kunitakia safari njema.zaidi nawashukuru sana wananchi wa meru na arusha kwa maombi yao na viongozi wa cdm kunzia mkiti taifa kwa kunitia moyo.pengine ningeshakufa sasa,kila ninapokumbuka tukio naona imagination za kifo.shukurani pekee kwa mungu.