BJEVI
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 1,359
- 251
pole na iwe fundisho kwake na viongozi wengine wa vyama vya siasa midomo inawaponza
Hivi mpaka leo dhambi ya rushwa inakusumbua !!!!!!!!!!....WHO TOLD YOU ? hata kama kiongozi ana mdomo kwa nini apigwe nani kakuambia kupiga ndo solution. Hii nchi ina mkono wa sheria.''Be ethical men.''Tubu na uache rushwa.
Pole sana kiongozi Nassari..MUNGU akufunike upone na ukawatumikie waliokuchagua.