Kama kawaida waliofanya Uhuni huu bila shaka hawajakamatwa na hawatakamatwa.Cha kufurahisha ni kwamba Wananchi wanajua wanaowatuma na kuwalinda Wahalifu hawa.Kwa kuwa Madaktari nao Wanamjua Adui wa Watanzania,watamtibu kwa Moyo Mmoja Kamanda ili apone haraka arudi kuwatetea.
mbona serikali haielezi Nassari aliumizwa na nani? na kwaanini waliofanya ubazazi huo hawajatiwa nguvuni