Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Ameandikiwa rufaa aende muhimbili kwa matibabu zaidi, lakini pia hali ya Arusha sio shwari ikiwemo hospital ya Selian ambapo wanusalama wasiojitambulisha wamezagaa wakijaribu kuingia kwenye baadhi ya wodi na vurugu za polisi dhidi ya Raia. Madaktari wameona Dar ni Bora zaidi. Ofisi ya Bunge inaratibu matibabu.