Kapumpuli
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 1,812
- 2,281
Hahahahaaa... Mkuu, hamtaki kuhusishwa katika hili?Afanye siasa lakini hasituingize watu wa kanda ya ziwa kwenye agenda zake binafsi za kisiasa na ukabila wake. Kwa bahati nzuri yeye ni mbunge kwanini asizungumze kwa niaba ya wananchi wa jimbo lake hadi atuhusishe wananchi wote wa kanda ya ziwa,?