Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Dialo alisema uongo au ukweli ?!. Kosa gani wewe unaliona kwenye maneno ya Dialo ?Wewe unamkataza musukuma kuwasemea watu wa ziwa mbona hatujakaa kikao kama wana ziwa tukakutuma wewe ukanushe hayo ya musukuma.kimsingi musukuma yuko sawa dialo kakosea sana.