Mbunge Mussa Khamis Silima afariki Dunia

Mbunge Mussa Khamis Silima afariki Dunia

RIP mheshimiwa, nilidhani ni wa huku bara nianze kushangilia jimbo lingine kuwa wazi kwa chadema.
<br />RIP MBUNGE!wewe babap a k a masegese,acha ushabiki wa kijinga.yaani unaombea wabunge wafe ili mchukue majimbo.mlishìndwa nini kuyachukua mapema.
<br />
 
RIP Mbunge.

Mbali na hilo tukio lililotupata watanzania kwa kuondokewa na mbunge, me nadhani pia ntaunga na Kibonde wa Radio Clouds FM jana alisema jambo mmoja muhimu sana kumetokea matukio mengi ya viongozi(esp Wabunge) hawa kukumbwa na ajari na kupoteza uhai wao, Je serikali sibora ikatoa uamuzi sasa kuwa Makao makuu ya serikali yasiwe kwa mdomo na kwa maandishi kwenye vitabu na wafanye kwa vitendo wahamie DODOMA kabisa, kuboresha Uwanaja wa Kimataifa wa ndege hapo Dodoma maana utajengwa kule njia ya kwenda Msalato ndiko eneo liliko pangiwa.

Sijui wana JF mwasemaje kwa hilo pia!!!!
 
Ni msiba mkubwa kwa wana familia wote. Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe sasa na hata milele. Amina
 
RIP Mbunge.

Mbali na hilo tukio lililotupata watanzania kwa kuondokewa na mbunge, me nadhani pia ntaunga na Kibonde wa Radio Clouds FM jana alisema jambo mmoja muhimu sana kumetokea matukio mengi ya viongozi(esp Wabunge) hawa kukumbwa na ajari na kupoteza uhai wao, Je serikali sibora ikatoa uamuzi sasa kuwa Makao makuu ya serikali yasiwe kwa mdomo na kwa maandishi kwenye vitabu na wafanye kwa vitendo wahamie DODOMA kabisa, kuboresha Uwanaja wa Kimataifa wa ndege hapo Dodoma maana utajengwa kule njia ya kwenda Msalato ndiko eneo liliko pangiwa.

Sijui wana JF mwasemaje kwa hilo pia!!!!

..Suala la kuhamia Dodoma ni shopping list ya CCM (Ilani) ambayo haitekelezeki. Ni moja kati ya mitaji yao ya kupatia kura.
 
RIP mheshimiwa, nilidhani ni wa huku bara nianze kushangilia jimbo lingine kuwa wazi kwa chadema.
<br />
<br />
tuache mawazo mgando kwa kufikilia madaraka katika kipindi iki kigumu kwa wanafamilia ya silima huwe na huruma na roho ya utu wewe.na hayo ni mawazo yako peke yako si ya wanachadema wote naona ka umetumwa.
 
Huu msiba ni mzito, hizi ajali kwa kweli Tanzania zimezidi, sijui ni miundombinu, elimu ya barabara ama ulevi na uzembe?
Naungana kuwapa pole familia ya wafiwa na waTanzania wote katika kipindi hiki kigumu. Mungu azilaze roho za mbunge na mkewe peponi.
 
Duh! Wakuu tunaombea hadi vifo?
Nway, r.i.p mh.
babap;
RIP mheshimiwa, nilidhani ni wa huku bara nianze kushangilia jimbo lingine kuwa wazi kwa chadema.
 
RIP mheshimiwa, nilidhani ni wa huku bara nianze kushangilia jimbo lingine kuwa wazi kwa chadema.

Duh kumbe Chadema mwaombea watu wafe ili mchukue madaraka, mbona mnajali madaraka kuzidi uzima wa mtu. HIKI SI CHAMA NI KIKUNDI CHA WAHUNI WACHACHE WENYE UCHU WA MADARAKA (rf. Mh Shibuda)
 
Mungu awafariji watoto wake na familia nzima kwa msiba huu mkubwa!
 
RIP Mhe. Silima, Mungu awape nguvu wanafamilia katika kipindi hiki kigumu.
 
RIP Mbunge.

Mbali na hilo tukio lililotupata watanzania kwa kuondokewa na mbunge, me nadhani pia ntaunga na Kibonde wa Radio Clouds FM jana alisema jambo mmoja muhimu sana kumetokea matukio mengi ya viongozi(esp Wabunge) hawa kukumbwa na ajari na kupoteza uhai wao, Je serikali sibora ikatoa uamuzi sasa kuwa Makao makuu ya serikali yasiwe kwa mdomo na kwa maandishi kwenye vitabu na wafanye kwa vitendo wahamie DODOMA kabisa, kuboresha Uwanaja wa Kimataifa wa ndege hapo Dodoma maana utajengwa kule njia ya kwenda Msalato ndiko eneo liliko pangiwa.

Sijui wana JF mwasemaje kwa hilo pia!!!!
Jethro naona akili za Kibonde kidogo zimekupitia lengo la kuhamia Dodoma si kuepuka ajali, ajali inaweza kutokea popote pale hata kutoka Msalato kwenda bungeni unaweza kupata ajali, kinachotakiwa ni kuwa waangalifu kuepusha ajali zembe, halafu huyo Kibondemaji alichoona yeye ni kuzidi kwa ajali za viongozi tu za wananchi wa kawaida vipi zenyewe ziendelee.
 
Duh kumbe Chadema mwaombea watu wafe ili mchukue madaraka, mbona mnajali madaraka kuzidi uzima wa mtu. HIKI SI CHAMA NI KIKUNDI CHA WAHUNI WACHACHE WENYE UCHU WA MADARAKA (rf. Mh Shibuda)
Magamba kwa kutumia akili za masaburini eti wanaanzisha posts zao halafu wanajijibu hovyo.
 
Back
Top Bottom