Mbunge Msigwa wasaidie wafanyabiashara wa nyanya wa Ilula wanasema ni heri kujinyonga!!

Nimewasikia wafanyabiashara wa nyanya wa Ilula wanalalamika kuwa biashara ya nyanya imekuwa ngumu na heri hata kujinyonga kuliko Kuna nyanya zinaharibika.

Mbunge Mch Msigwa wasaidie hao wafanyabiashara ili biashara hiyo iwape mafanikio kama zamani.
Ungemwandikia Mwijage kutoa kilio chako hicho,
Tanzania ya viwanda tunashindwa hata kuwa na kiwanda cha kusindika nyanya?
Halafu wewe unakimbilia kumlaumu Msigwa ambaye hata hahusiki na jimbo hilo!!
Sijui mnatumia akili gani nyie watu...
 
Hakika hata huku musoma hali si nzuli soko limeporomoka sana serikali ijipange ili kuwasaidia wakulima
 
Hao wakulima wangeanzisha umoja wao ili wakope pesa kujenga kiwanda cha kusindika nyanya,mambo yao yangefanikiwa ila siyo eti kwa wabunge na serikali hii.
 
lakin niliona kiwanda kipya cha kusindika nyanya maeneo ya mseke ama awajaanza uzalishaj nafikili ni tawi lao maana wakingine Arusha
Kile Kiwanda KINA VIWANGO VYAKE VYA NYANYA. Siyo kila Nyanya inafaa kwa usindikaji. Ubora unahitaji kufwatwa tangu Nyanya ikiwa shambani. Sehemu KUUUBWA ya uzalishaji wa Nyanya Ilula (na pengine maeneo mengine) haukidhi ubora huu unaohitajika.
 
Mbunge wa Ilula ni nani?
Ilula siyo Jimbo la Uchaguzi. Liko Jimbo la Kilolo. Mbunge wake ni Venance Mwamoto....(yule winga wa zamani wa Yanga Afrika)...Kabla yake (kama nakumbuka vema-na hapa niko tayari kukosolewa), alikuwa Profesa Msola (aliyepata kufundisha na kiongozi wa ngazi ya juu pale Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine-Morogoro).
 
Msigwa atafanya nini wakati utakuta hata yeye anazo na zinamuozea au anauza tenga sh 3,000 hata kama hapendi. Kuna uzi humu jukwaani kuhusu kilimo cha mananasi kwenye shamba la JK, hata yeye analia juhusu masoko na changamoto kibao.

Ki ujumla kama unataka kuonja jehanamu ukiwa bado duniani nenda kalime. Sio wakulima, viongozi au serekali hakuna mwenye suluhisho la mazao ya mkulima. Angalia signature yangu ndio utajua namaanisha nini.
 
Kile Kiwanda KINA VIWANGO VYAKE VYA NYANYA. Siyo kila Nyanya inafaa kwa usindikaji. Ubora unahitaji kufwatwa tangu Nyanya ikiwa shambani. Sehemu KUUUBWA ya uzalishaji wa Nyanya Ilula (na pengine maeneo mengine) haukidhi ubora huu unaohitajika.
duuuu sikujua hilo jamani wana ruaha poleni sana....
 
Inasikitisha sana.. Nimewasikia hawa jamaa tena madeni walionayo ndo yanawaumiza kichwa
 
Nimewasikia wafanyabiashara wa nyanya wa Ilula wanalalamika kuwa biashara ya nyanya imekuwa ngumu na heri hata kujinyonga kuliko Kuna nyanya zinaharibika.

Mbunge Mch Msigwa wasaidie hao wafanyabiashara ili biashara hiyo iwape mafanikio kama zamani.
Hoja yako inafanyiwa kazi .
 
Nimewasikia wafanyabiashara wa nyanya wa Ilula wanalalamika kuwa biashara ya nyanya imekuwa ngumu na heri hata kujinyonga kuliko Kuna nyanya zinaharibika.

Mbunge Mch Msigwa wasaidie hao wafanyabiashara ili biashara hiyo iwape mafanikio kama zamani.
Awasaidie vipi na yeye kutwa anapita kuzunguka kumsifia Lowasa, badala ya kuwatafutia masoko!
 
msigwa anahusikaje kwenye jimbo lisilo lake?kwani mbunge wa huko kazi yake nini?
nonsense!

mkuu msaada unaombwa , haujagundua muanzisha thread anamuamini msigwa na anataka atoe mawazo yake? kwa nini usimpe sifa kwa kuuona msigwa na ukawa proud na alichokisema

hauoni ni credit kwa msigwa kuwa kuna kitu ambacho anacho??

au uliwaza nini??? cant you think positively??

imagine mama yako engemjibu hivyo baba yako, ungezaliwa ?
 
Back
Top Bottom