KYALUMUKUNZA
Senior Member
- Aug 19, 2012
- 145
- 28
mbunge huko sumbawanga amehamasiha watu kuchoma moto KANISA,GHALA LA MAHINDI,NYUMBA NA MATREKTA chanzo ITV wenye taarifa kamili tunaomba mtujuze hapa jf.
Mbunge wa chadema ambae alishinda kesi ya uchaguzi sumbawanga....chadema kama uamsho
Mtume na nabii Josephat Mwingira ana mashamba makubwa rukwa,Bagamoyo ana Ephata bank! Kibwetere type!