KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 963
mtume na nabii josephat mwingira ana mashamba makubwa rukwa,bagamoyo ana ephata bank! Kibwetere type!
nimeipenda hii kitu mkuu,
mtume na nabii josephat mwingira ana mashamba makubwa rukwa,bagamoyo ana ephata bank! Kibwetere type!
Akili yako haina akili!SASA KWA HILI TUACHE UNAFIK, TNASUBILI TAMKO LA KADINAL AU TUTAMIN MMEPATA LA KUSEMA, AU KWA KUWA WALOCHOMA AYO MATREKTA NI WAKRISTU BASI HAMNA NOMA OW NDO INAKUA SOO, AU KUNYA LZM ANYE KUKU, AKINYA BATA KAHARISHA. ACHENI UCHOCHEZ WA DINi
Mtume na nabii Josephat Mwingira ana mashamba makubwa rukwa,Bagamoyo ana Ephata bank! Kibwetere type!
ACHA UJINGA WEWE, UYO KIKOJOZ WAKO AU WENU MLOMTUMA KM ANGENASWA SIKU IYO ANGEPATA ADHABU KUBWA ZAIDI YA IYO, NAKUAPIA KM ANGENASWA LEO HII NATMAI ANGETAMAN KUWA MJUS AU CHIZI MAANA ASINGEBAKI DUNIA HII, ATA WEWE JARIBU KUIKOJOLEA, UTAOMBA HERI UWE MBWA KULIKO KTAKACHOKPATa KENGE MKUBWA WEWE
Sisi cha kwetu tunakiita maandiko matakatifu. wao kitabu ndo kitakatifu. tofautisha hapo mkuu utapata jambo
Hii ni kutokana na mgogoro wa ardhi, haina uhusiano na dini na hakuna kanisa lililochomwa hapo. Ni muendelezo wa chuki baina ya wawekezaji na wananchi wanaomzunguka, kama vile mgodi wa Nyamongo. Serikali inabidi iangalie upya makubaliano ya uwekezaji. Halafu nashangaa mbunge wa CCM kuitumia kaulimbiu ya "Nguvu ya Umma" kwenye mkutano wake na wananchi, ingawa yeye utekelezaji wake umesababisha madhara
Sasa mbunge aliwahutubia akina nani kama sio wananchi? Basi ili ufurahi, ngoja isomeke "Mbunge wa CCM awahutubia waisilamu, wachoma moto matrekta na shamba"ingekua bagamoyo mngesema WAISLAM,ILA RUKWA MNASEMA WANANCHI,,,,
Ni sawa tu kwa sababu ni mtanzania mwenzetu au mnataka wakenya na wahindi ndio wamiliki hivyo vitu?
Ni sawa tu kwa sababu ni mtanzania mwenzetu au mnataka wakenya na wahindi ndio wamiliki hivyo vitu?
SASA KWA HILI TUACHE UNAFIK, TNASUBILI TAMKO LA KADINAL AU TUTAMIN MMEPATA LA KUSEMA, AU KWA KUWA WALOCHOMA AYO MATREKTA NI WAKRISTU BASI HAMNA NOMA OW NDO INAKUA SOO, AU KUNYA LZM ANYE KUKU, AKINYA BATA KAHARISHA. ACHENI UCHOCHEZ WA DINi