Mbunge lema ametutosa

Mbunge lema ametutosa

Nduka Original

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,012
Reaction score
817
Aisee Lema mbona umetutosa washikaji zako hapa Arusha? Yani baana ya kula shavu tu ndo basi.
Kumbuka 2015 siyo mbali.
 
Bwah, bwah, bwah, bwah!... Umetoswa wewe na nani?...
 
Bado ajawatosa anajipanga muda unaenda na zile ahadi zake za kujenga Machinga Complex mbili na "Skyover" ndio anatafuta pesa!
 
Mods upupu kama huu unadhalilisha hii forum.
 
Aisee Lema mbona umetutosa washikaji zako hapa Arusha? Yani baana ya kula shavu tu ndo basi.
Kumbuka 2015 siyo mbali.
Amekutosa nini sasa! Mbona huna point, ulitaka akupe pesa kila mkikutana! Vijana wengine hopeless kabisa, kwa hiyo unamtisha Lema?
 
Bado ajawatosa anajipanga muda unaenda na zile ahadi zake za kujenga Machinga Complex mbili na "Skyover" ndio anatafuta pesa!

mkuu pumzika maana usiku huu wote elf 2 tu itakutoa roho
 
Bado ajawatosa anajipanga muda unaenda na zile ahadi zake za kujenga Machinga Complex mbili na "Skyover" ndio anatafuta pesa!
Jk pia anatafuta pesa kama Lema, manake nae pia katutosa...
 
Aisee Lema mbona umetutosa washikaji zako hapa Arusha? Yani baana ya kula shavu tu ndo basi.
Kumbuka 2015 siyo mbali.
Unataka akupe nini?CDM hawatoi tshirt,kofia wala mahindi..kama unahitaji hivyo hamia Magamba,cku nyngne usiandike upupu hapa
 
Aisee Lema mbona umetutosa washikaji zako hapa Arusha? Yani baana ya kula shavu tu ndo basi.
Kumbuka 2015 siyo mbali.

Kama ni wewe ndo umetoswa ni sahihi kabisa. Ulitegemea ubwabwa kama magamba wanavyowaandalia sasa umeukosa ndo unalalamika.
 
Mods upupu kama huu unadhalilisha hii forum.

Acha kulialia kwa Mods, kama una cha kuchangia kaa pembeni tuachie wapenda amani tuchangia.
Wewe unataka kila thread ukufarahishe wewe? Fungua forum yako uweke sheria kuwa hii ni Forum ya Magwanda tu.
JF sio ya CDM kijana jenga hoja usilete vioja
 
Unataka akupe nini?CDM hawatoi tshirt,kofia wala mahindi..kama unahitaji hivyo hamia Magamba,cku nyngne usiandike upupu hapa
Nyumba haichomwi kwa maji ya moto, mikwara mingi kama nyapara anampiga mfungwa ili amalize ngwe yake!
 
Watu wengine bwana .Ujinga kila mahali inakuwaje mtu unaandika tu kama mkono wa mjinga .
 
Bado ajawatosa anajipanga muda unaenda na zile ahadi zake za kujenga Machinga Complex mbili na "Skyover" ndio anatafuta pesa!

muda si mrefu gamba litatoka ushaanza kuwa na akili
 
Lema ndio nani??? Hv chadema ya nani mi naona wachagga ndio wengi...na ahadi za wapinzani watatekeleza vipi na serikali ni ya ccm...
 
Back
Top Bottom