Alidanganya atajenga hospital tatu,machinga complex mbili na stand mpya ya mabus hakuna hata kimoja alichotimiza kumbe ilikuwa janja yake anamalizia jumba lake la kifahari Njiro kanosa karibu na Mama Mjaluo bwahaaaa aaaaa.Mpaka sasa ameshanjenga vijiwe vya wavuta Bangi na wanywa gongo Moshono,Njiro,Kijenge,Sombetini,Elerai,Soko kuu,Ungalimited,Kwamromboo,Mianzini na Sanawari.Mikutano ya kimataifa yote imehamishwa Arusha kwaajili ya fujo za Lema.
kumbe tatizo lako ni lema kujenga nyumba njiro acha wivu wa kipumbavu halafu mambo ya ushikaji wako na lema unayaleta hapa tukusaidie nini hebu itendeeni haki jf..