Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,907
- 28,079
Tunaomba updates na pia kama unajua sababu zozote za Llema kukamatwa
Toa unafki hapa..
Tunaomba updates na pia kama unajua sababu zozote za Llema kukamatwa
" Lema akirudi Bungeni nitakunywa sumu" .... Nchi ameshaharibika, mkuu wa mkoa alimwambia atampa kesi, anatimiza azima yake...
Kila jambo linalo tokea leo tanzania,mungu anali ruhusu ili ajitukuze,msiogope makamanda change is come tanzania,
trauma kwa watoto wa lema,hawa magamba hawaoni shida?kumfanyia mtu vituko na kuharibu nyumba yake wakati wangeweza zunguka nyumba hadi afungue?
inasikitisha sana, tz tuna watawala madikteta
Wamekuta mikanda mingine ya kigaidi?
Mkuu unafundua leo baada ya Lema kuwekwa ndani?
Acha unafiki, si unakumbuka alivyotamba kuwa huko Arusha kwa maamuzi ya ubunge wake ni yeye na Mungu tu wanaweza kuamua hatma yake?
Kwa mtu mwerevu anaweza kutambua kuwa umaarufu umeanza kuharibu kichwa cha mwenzenu huyu wa CHADEMA.
Na wale wa kundi lake walimshangilia sana licha ya kosa hilo kubwa.
Kujifananisha na Mungu kwa aina yoyote ile ni kimdhihaki Mwenyezi Mungu, na jibu wala halijachelwa.
Lema kaingia tundu dogo sana, na la kijinga.
gamba bibi yako!! mara kumi uniite gaidi kuliko kunipa jina gamba!!
Na.inasikitisha sana tuna wanasiasa magaidi na wahuni
kama slaa
ktk ujambazi wake aliumiza wengi sasa haya ni matunda,ayakubari tu.
mkuu sindano butu bahati mbaya sana bibi zangu wote walishatangulia mbele ya haki.......hilo jina unalotaka kuitwa ni lakimkakati ambao umeshindwa.
God will make a way where he seems to be no way.......Go Lema Goooo
mungu ameruhuru lema achochee watu kuuana ili iweje sasa
Mkuu unafundua leo baada ya Lema kuwekwa ndani?
Acha unafiki, si unakumbuka alivyotamba kuwa huko Arusha kwa maamuzi ya ubunge wake ni yeye na Mungu tu wanaweza kuamua hatma yake?
Kwa mtu mwerevu anaweza kutambua kuwa umaarufu umeanza kuharibu kichwa cha mwenzenu huyu wa CHADEMA.
Na wale wa kundi lake walimshangilia sana licha ya kosa hilo kubwa.
Kujifananisha na Mungu kwa aina yoyote ile ni kimdhihaki Mwenyezi Mungu, na jibu wala halijachelwa.
Lema kaingia tundu dogo sana, na la kijinga.
Tuheshimihane mi sio gamba. CHADEMA FOR LIFE!!!we ni gamba ndio,LEMA ni kijana wetu na hapa arusha mjini tumeapa kumpa hata ubunge miaka 30 kama atataka..hatutaki wabunge wa ndio mzee kama huyo wako wa KONDOA KUSINI NA MTERA