Mbunge Lema akamatwa na Polisi!

wakuu hii ni balaa There are currently 3537 users browsing this thread. (170 members and 3367 guests
 
Safi sana jeshi la polisi,kamata magaidi wote

Hakimu wa kweli (Mungu) ndiye atakaetudhihirishia gaidi wa kweli ila siyo hizi mahakama na vyombo vya ulinzi vilivyo chini ya serikali dhalimu ya ccm
 
Tunaomba updates na pia kama unajua sababu zozote za Llema kukamatwa
Soma alama za nyakati. Kama ujui lema kakamatwa kwa sababu gani. Basi wewe ni kilaza wa kutupwa. Wahehe atupo kama wewe, unatudhalilisha sana ndugu. Kila mtanzania anasubiri mageuzi 2015 sasa wewe endelea kujipendekeza itakukosti.
Serukambaa wewe
 
Pole Kamanda Lema.
Hakuna yasiyo kuwa na mwisho hata Mandela alipitia mazingira kama hayo na mwisho akawa Raisi muhimu mkono wa Mungu
.
 

Mktu umeweza kufuatilia mwanzo wa hili sakata then ndo uamue kuandika haya uliyoandika?
 
Pole sana makamanda. I wish i could be in TZ to get all what is trending now.

But good thing to believe, God is GOOOOOOOD!!!!!!!!!!!!!!!!

All the best GUYZ, we are going to be the champions soon.

 
huuuuuuu upuuzi sana kazi yote atakayo ifanya kama aliraise profile ya ccm kwa asilimia 20 huyu mkuu wa mkoa ameipeleka negative kabisa kwa mkoa wa arusha ......hivi ndio vitu vinavyowapa sifa chadema bila sababu ......mkuu wa mkoa alishindwa nini kujishusha na kuwapa pole sema tunashughulikia .......haya mambo yalitokea na mtwara pia upuuzi kweli aiseee
 

na ailaani ccm na wanaoisapoti ktk nia zao mbaya
 
mengi , Naamini CCM na watendaji wake serikalini, Wakuu wa mikoa ambao muda si mrefu hatutawataka wawepo maana umuhimu wao haupo. Hiki cheo hakina Job descriptions tofauti na ile ya kuwinda wapinzani na kuua democrasia ktk nchi yetu. Ni lazima Cheo hiki kifutwe maana ni cheo kilicho na malengo ya kisiasa cha kupeleka taarifa zenye kufitinisha ikulu. The new constitution should stipulate clearly the kinds of appointee by the presida. Kamwe hatutaijenga nchi kwa kutumia vyombo vya usalama, watawala wetu wasipobadirika kuna siku nchi hii moto utawaka na vyombo hivyo vya dola hakika havitaweza kuuzima. Ngoja tuone mwisho wa uongozi huu wa kutumia mabavu. "Kwani huyu mama wa CCM ilikuwa ni lazima ashinde ubunge ndo arusha itulie???, je huyu mama mbona anawatesa watu wa Arusha na watanzania kwa ujumla" Tatizo naona ni yule mama kipenzi cha watawala wa leo kukosekana bungeni wakti kiti chake kilikuwa kimeandaliwa tayari. CCM na Serikali yako waache watu wapumue, msiwatese hiyo, na wakichoka mtajuta....


 
Nakubaliana na mchangiaji mmoja hapo juu kuwa yanatafutwa mazingira ya kuutoa uhai wa Lema,lakini hilo litakuwa ni suala la muda tu kwani maisha yao na ya watoto wao yatafuata mstari huo huo.Hamtaki kusemwa vibaya basi ishini inavyopaswa,kuweni waadilifu,kwisha hata akija mtu akaongea vibaya kukuhusu haitathibitika,jamani hizi ni zama zingine.
 
Bado unahasira za kuuwawa kwa Osama Bin Laden.aliyemuua ni rais OBANA sio LEMA.Nakukumbusha tu.
 
Hakuna kitu kama hicho lema hajashika amani ya nchi

Pile sana. Mupumbavu Siku zote huwa hajui kama ni mupumbavu. Weledi wa mtu hupimwa na fikira zake.
Comment zako ni za kipuuzi sana. Na wenye akiri zao watakuona wewe Ni kama mtu aliyeamua kubadili jinsia yake. Tetea haki ya watanzania wa kesho na walio wadogo kwa sasa. Au ndo kupevuka?? Inasikitisha sana to see someone destroying the truth. Sifikiri kama Lema nimkorofi but CCM ndo mnaharibu inch
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…