Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,902
- 945
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Songwe, Juliana Daniel Shonza ameendelea na ziara yake Kata kwa Kata huku akifanya Mikutano ya hadhara kwa lengo la kuelezea kwa wananchi utekelezaji wa Ilani ya awamu ya sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
Mhe. Juliana Shonza katika Kata ya Magamba amehutubia mkutano wa hadhara kuelezea utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020-2025 na kuchangia vikundi vya akina Mama wajasiriamali Shilingi Milioni 3,000,000 ambapo kila kikundi kimepata Shilingi 300,000.
Mhe. Juliana Shonza katika Kata ya Magamba amehutubia mkutano wa hadhara kuelezea utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020-2025 na kuchangia vikundi vya akina Mama wajasiriamali Shilingi Milioni 3,000,000 ambapo kila kikundi kimepata Shilingi 300,000.