Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,549
- Thread starter
- #21
ππππ Hakuna kusubiri Mbinguni ni kuhesabiwa hakiMalipo hapa hapa duniani
ππππ Hakuna kusubiri Mbinguni ni kuhesabiwa hakiMalipo hapa hapa duniani
Alimlazimisha Jerry slaa aombe radhi hadharaniππππ Hakuna kusubiri Mbingun
i ni kuhesabiwa haki
SijaelewaWanyambo tembeeni vifua mbele
Tena bila kupenda yaaniβοΈβοΈβοΈA
Alimlazimisha Jerry slaa aombe radhi hadharani
KAKUKUTA yeye ndo anaomba radhi hadharani tena kwa fedheha kubwa
Hivi Wabunge wote 300+ wanaona kilichofanyika ni sahihi kabisa mbele yao na mbele za MUNGU? Kama wanaona ni sahihi na hakuna hata mmoja anayepinga hadharani maamuzi hayo, basi kwa kweli "HATUNA BUNGE TANZANIA"''Bunge la TZ ndilo limekosewa lakini adhabu inaenda kwa bunge la Afrika
Mbunge ndiye kakosea, wanaadhibiwa wananchi wa Ukonga.
Asiyekatwa kodi kasema hakatwi, Kamati inalazimisha kusema anakatwa.''- Askofu Bagonza
View attachment 1918410
Hizi ndio PHD sasa
Hakuna bunge hapo mkuu Ila Kuna kikundi Cha wezi tu wanaiba fedha zetu kwa kujiita wabungeHivi Wabunge wote 300+ wanaona kilichofanyika ni sahihi kabisa mbele yao na mbele za MUNGU? Kama wanaona ni sahihi na hakuna hata mmoja anayepinga hadharani maamuzi hayo, basi kwa kweli "HATUNA BUNGE TANZANIA"
Na laana ya aibu hiyo ikimpendeza Mungu, awarudishie wao na vizazi vyao.
Mbunge ndiye kakosea, wanaadhibiwa wananchi wa Ukonga.''Bunge la TZ ndilo limekosewa lakini adhabu inaenda kwa bunge la Afrika
Mbunge ndiye kakosea, wanaadhibiwa wananchi wa Ukonga.
Asiyekatwa kodi kasema hakatwi, Kamati inalazimisha kusema anakatwa.''- Askofu Bagonza
View attachment 1918410
Hizi ndio PHD sasa
Tazama sasa sifa zilivyoletwa za kuifahamu dini mpaka hansard imerecord kuwa Yesu alikuwa na mke.Wamemjadili mtumishi wa Mungu ambaye alikuwa anaongea na waumini wake kanisani mambo ya kiroho (maono) ambayo huwezi kudai ushahidi. Angeongea bungeni au mahali pengine popote na si kanisani, ingekuwa sahihi kumhoji. Tazama sasa sifa zilivyoletwa za kuifahamu dini mpaka hansard imerecord kuwa Yesu alikuwa na mke.
π€£π€£πAliye mtaka Mh Jerry Silaa aombe radhi kwa kutumia vyombo vya habari kajikuta anaomba radhi yeye bila kutegemea. Acha Mungu aitwe Mungu.
Huyu askofu nae ujuaji ukizidi anakuwa Mpumbavu ilimradi kila kitu yeye hupinga tuu.''Bunge la TZ ndilo limekosewa lakini adhabu inaenda kwa bunge la Afrika
Mbunge ndiye kakosea, wanaadhibiwa wananchi wa Ukonga.
Asiyekatwa kodi kasema hakatwi, Kamati inalazimisha kusema anakatwa.''- Askofu Bagonza
View attachment 1918410
Hizi ndio PHD sasa
Sina hamu na Hilo Bunge mieMbunge ndiye kakosea, wanaadhibiwa wananchi wa Ukonga.
Asiyekatwa kodi kasema hakatwi, Kamati inalazimisha kusema anakatwa.''-
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
πππππTazama sasa sifa zilivyoletwa za kuifahamu dini mpaka hansard imerecord kuwa Yesu alikuwa na mke.
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Kabisaa mkuuAskofu kaeleweka vizuri hapo
Hata mimi sijawahi muelewa,Hawa ndio wanaokuaga magaidi.Inafaa atafutiwe 18 kama za gwajima azimwe amekuwa mpumbavu Sana,huyu jamaa na machadema hawana tofauti kila kitu anapinga kwake hakuna jema.Ila huyu jamaa ni askofu kweli? Au ndio ule uaskofu wa kina gwajima?
Unayajua majukumu yake yote ama Hujui kuwa tangu enzi za manabii na mitume pia walitumia nafasi zao kukemea maovuHuyu askofu nae ujuaji ukizidi anakuwa Mpumbavu ilimradi kila kitu yeye hupinga tuu.
Mtu aliulizwa hajui hata salary yake anakomaa kupaka Bunge matope,tena kaulizwa ulipokuwa Meya posho ulikatwa kodi hapana,taja kwingine ambako mabunge yanalipa kodi ya posho hawezi.
Sasa mbunge kama huyu si ni mpumbavu? Amepoteza credibility ya kuwakilisha Bunge la Tzn kwenye Bunge la Afrika,waliimchagua ndio wamemtoa.
Sasa wewe askofu mpinzani kutetea ushenzi wa Slaa na wewe unakuwa mshenzi tuu.
Huyu askofu mda wote yeye ni siasa sijui Kazi yake anafanya saa ngapi.
Uovu upi anaokemea hapo? Hapa anatetea uovu au anakemea? Asifanye siasa kwa kichaka cha dini atanyofolewaUnayajua majukumu yake yote ama Hujui kuwa tangu enzi za manabii na mitume pia walitumia nafasi zao kukemea maovu
Chunga kinywa chako mkuu huyo Ni mtumishi wa Mungu angalia SanaHata mimi sijawahi muelewa,Hawa ndio wanaokuaga magaidi.Inafaa atafutiwe 18 kama za gwajima azimwe amekuwa mpumbavu Sana,huyu jamaa na machadema hawana tofauti kila kitu anapinga kwake hakuna jema.
Mshenzi kama huyu hawezi kuwa askofu wangu hata kidogo