Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,549
- Thread starter
- #41
Wezi tupu
Kama wanalipa kodi waweke salary slips zao tuone
Kama wanalipa kodi waweke salary slips zao tuone
Hii kweli kabisa. Baada ya uamuzi kutoka, spika kama msimamizi mkuu wa mhimili hakutakiwa tena kutoa mfululizo wa kejeli kwa wahusika.Badala ya kupangua hoja za Jerry kwa kutumia hoja Ndugai anatumia nguvu ya kiti cha uspika.
😂😂😂😂😂Haya bhana unaonekana Hujui ulisemaloUovu upi anaokemea hapo? Hapa anatetea uovu au anakemea? Asifanye siasa kwa kichaka cha dini atanyofolewa
Pumbavu zenu, kwani mimi ni mtumishi wa nani?Chu
Chunga kinywa chako mkuu huyo Ni mtumishi wa Mungu angalia Sana
Unaweza kuwa wa shetani pia maana kauli zinasadifu ukweliPumbavu zenu, kwani mimi ni mtumishi wa nani?
Sasa wewe yule mshenzi anaetetea uovu na wewe unamtetea mnaweza kuwa na nini kama sio shetani mkomavu? Wapuuzi wengi huwa mnajificha kwenye dini ndio hivi mnaumbuka.Unaweza kuwa wa shetani pia maana kauli zinasadifu ukweli
Aliye mtaka Mh Jerry Silaa aombe radhi kwa kutumia vyombo vya habari kajikuta anaomba radhi yeye bila kutegemea. Acha Mungu aitwe Mungu.
Hatari na nusuYaan mpaka anaonekana wa hovyo kweli kwel.....
Sangoma!''Bunge la TZ ndilo limekosewa lakini adhabu inaenda kwa bunge la Afrika
Mbunge ndiye kakosea, wanaadhibiwa wananchi wa Ukonga.
Asiyekatwa kodi kasema hakatwi, Kamati inalazimisha kusema anakatwa.''- Askofu Bagonza
View attachment 1918410
Hizi ndio PHD sasa