marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,634
- 3,660
Kuna habari zimenifikia sasa havi kwamba Mbunge huyu amefariki!.
Mbunge huyu alikuwa mgonjwa na hakuapishwa 2010.
Alipelekwa India na iliandikwa hapa jukwaani, hali ilikuwa mbaya sana!
Baada ya kupata matibabu ya uvimbe kwenye ubongo, alirudishwa kimyakimya na sasa nimesikia amefariki.
UPDATE:
Naibu Spika kathibitisha habari hizi na marehemu alifariki saa 8 usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali ya taifa - Muhimbili
Mbunge huyu alikuwa mgonjwa na hakuapishwa 2010.
Alipelekwa India na iliandikwa hapa jukwaani, hali ilikuwa mbaya sana!
Baada ya kupata matibabu ya uvimbe kwenye ubongo, alirudishwa kimyakimya na sasa nimesikia amefariki.
UPDATE:
Naibu Spika kathibitisha habari hizi na marehemu alifariki saa 8 usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali ya taifa - Muhimbili