Mbunge huyu hatufai

Mbunge huyu hatufai

wambuni

New Member
Joined
Apr 30, 2012
Posts
4
Reaction score
0
Mbunge wa Iringa mjini hafanyi kazi za wananchi kila siku anasema anafanya kazi za kitaifa sisi wananchi tulio mchagua tukiamini mageuzi inatufedhehesha.
 
Mbona jana 2meletewa ripoti hapa kuwa ametoa vitanda ktk hospital hapo mjini.wee gamba acha majungu.KATIKA WABUNGE NNAOWAZIMIA UKIMWONDOA KAMANDA LEMA AMBAE NAMKUBALI BASI NI REV.PETER MSIGWA.usitake niwadharau iringa mjini..huyo bwana ni commited..usitake 2kutukane arusha.MSIGWA AME2SAIDIA SANA MERU.ukitizama 24hrz hilo shangingi lake utakuta lina vumbi la mbuguni,maroroni msi2 wa mbogo na engarenanyuki mda wote wa kampeni.pliz Mwache kabisa..
 
Mbunge wa Iringa mjini hafanyi kazi za wananchi kila siku anasema anafanya kazi za kitaifa sisi wananchi tulio mchagua tukiamini mageuzi inatufedhehesha.

yale yale ya Wajinga,Huyu jamaaa kaja jana tu kotoka kusikojulikana huo ujinga sijuia anamletea nani huo ujinga humu janvini
 
Join Date : 30th April 2012
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0
[h=2]
icon1.png
acha kutumia masaburi kuanzisha mada,Gamba mkubwa ........[/h]
 
Mbunge wa Iringa mjini hafanyi kazi za wananchi kila siku anasema anafanya kazi za kitaifa sisi wananchi tulio mchagua tukiamini mageuzi inatufedhehesha.
toa upuuzi wako wewe, we ndo wale wale akina mama mbega nini ,
 
Mbunge wa Iringa mjini hafanyi kazi za wananchi kila siku anasema anafanya kazi za kitaifa sisi wananchi tulio mchagua tukiamini mageuzi inatufedhehesha.

Acha uongo wako. wewe ni gamba na utakuwa umetumwa pole sana siku nyingine usikurupuke
 
Mbunge wa Iringa mjini hafanyi kazi za wananchi kila siku anasema anafanya kazi za kitaifa sisi wananchi tulio mchagua tukiamini mageuzi inatufedhehesha.
[h=3]MBUNGE WA CHADEMA IRINGA MCHUNGAJI MSIGWA AWAZIBA MIDOMU CCM ,AKABIDHI VITANDA VYA MAMILIONI YA SHILINGI[/h]

Mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) kulia akikabidhi vitu mbali mbali leo kwa ajili ya Hospitali ya Manispaa ya Iringa Mjini kwa kaimu meya wa Manispaa ya Iringa Vitor Mushi mwenye shati la kijani katikati
Wananchi wakishusha vitanda katika malori leo vitanda ambavyo ni msaada kutoka kwa mbunge Msigwa
Sehemu ya vitanda vilivyotolewa na mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa leo
Hii ndio Hospitali mpya ya Manispaa ya Iringa ambayo mbunge Msigwa amekabidhi vitanda vya kisasa itaanza kutoa huduma jumatatu wiki ijayo
Vitanda vya kisasa vikiwa vimeshushwa katika lori kwa ajili ya matumizi ya Hospitali ya Manispaa ya Iringa
Baiskeli kwa ajili ya walemavu na wagonjwa watakaofika kupatiwa matibabu katika Hospitali hiyo
Mbunge Msigwa akionyesha jinsi ya kuseti vitanda hivyo kwa umeme
Kaimu mstahiki meya wa Manispaa ya Iringa diwani wa kata ya Mtwivila Victor Mushi (CCM) akishukuru kwa msaada huo kutoka kwa mbunge Msigwa (Chadema)
Umati wa wananchi waliofika kushuhudia zoezi hilo nyeti
MBUNGE wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) amekabidhi vitanda vya kisasa 30 pamoja na magodoro yake kwa ajili ya kusaidia kulalia
 
MBUNGE WA CHADEMA IRINGA MCHUNGAJI MSIGWA AWAZIBA MIDOMU CCM ,AKABIDHI VITANDA VYA MAMILIONI YA SHILINGI



Mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) kulia akikabidhi vitu mbali mbali leo kwa ajili ya Hospitali ya Manispaa ya Iringa Mjini kwa kaimu meya wa Manispaa ya Iringa Vitor Mushi mwenye shati la kijani katikati
Wananchi wakishusha vitanda katika malori leo vitanda ambavyo ni msaada kutoka kwa mbunge Msigwa
Sehemu ya vitanda vilivyotolewa na mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa leo
Hii ndio Hospitali mpya ya Manispaa ya Iringa ambayo mbunge Msigwa amekabidhi vitanda vya kisasa itaanza kutoa huduma jumatatu wiki ijayo
Vitanda vya kisasa vikiwa vimeshushwa katika lori kwa ajili ya matumizi ya Hospitali ya Manispaa ya Iringa
Baiskeli kwa ajili ya walemavu na wagonjwa watakaofika kupatiwa matibabu katika Hospitali hiyo
Mbunge Msigwa akionyesha jinsi ya kuseti vitanda hivyo kwa umeme
Kaimu mstahiki meya wa Manispaa ya Iringa diwani wa kata ya Mtwivila Victor Mushi (CCM) akishukuru kwa msaada huo kutoka kwa mbunge Msigwa (Chadema)
Umati wa wananchi waliofika kushuhudia zoezi hilo nyeti
MBUNGE wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) amekabidhi vitanda vya kisasa 30 pamoja na magodoro yake kwa ajili ya kusaidia kulalia

HII PICHA NI UTHIBITISHO KWAMBA MAGAMBA NI WANAFIKI KAMA ALIVYO MTOA MADA NGUGU Wambuni au Wa Oustrich!!! Nazani Picha zitakuwa zimemziba kidomodomo! Kama hakutumwa na Umemekuvi basi ametumwa na Makindala!
 
Join Date : 30th April 2012
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0

Sikushangai, kumbe umezaliwa jana alafu leo tuu unapiga kelele, alafu umeingia JF hata bila hodi, duh, kilaza mkubwa wewe.
 
MBUNGE WA CHADEMA IRINGA MCHUNGAJI MSIGWA AWAZIBA MIDOMU CCM ,AKABIDHI VITANDA VYA MAMILIONI YA SHILINGI



Mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) kulia akikabidhi vitu mbali mbali leo kwa ajili ya Hospitali ya Manispaa ya Iringa Mjini kwa kaimu meya wa Manispaa ya Iringa Vitor Mushi mwenye shati la kijani katikati
Wananchi wakishusha vitanda katika malori leo vitanda ambavyo ni msaada kutoka kwa mbunge Msigwa
Sehemu ya vitanda vilivyotolewa na mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa leo
Hii ndio Hospitali mpya ya Manispaa ya Iringa ambayo mbunge Msigwa amekabidhi vitanda vya kisasa itaanza kutoa huduma jumatatu wiki ijayo
Vitanda vya kisasa vikiwa vimeshushwa katika lori kwa ajili ya matumizi ya Hospitali ya Manispaa ya Iringa
Baiskeli kwa ajili ya walemavu na wagonjwa watakaofika kupatiwa matibabu katika Hospitali hiyo
Mbunge Msigwa akionyesha jinsi ya kuseti vitanda hivyo kwa umeme
Kaimu mstahiki meya wa Manispaa ya Iringa diwani wa kata ya Mtwivila Victor Mushi (CCM) akishukuru kwa msaada huo kutoka kwa mbunge Msigwa (Chadema)
Umati wa wananchi waliofika kushuhudia zoezi hilo nyeti
MBUNGE wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) amekabidhi vitanda vya kisasa 30 pamoja na magodoro yake kwa ajili ya kusaidia kulalia

Umeamaliza kazi, kimsingi muanzisha thread si mtu wa kuaminika kwani kaingia jukwaani jana. Ni vizuri kumpuuza.
 
HII PICHA NI UTHIBITISHO KWAMBA MAGAMBA NI WANAFIKI KAMA ALIVYO MTOA MADA NGUGU Wambuni au Wa Oustrich!!! Nazani Picha zitakuwa zimemziba kidomodomo! Kama hakutumwa na Umemekuvi basi ametumwa na Makindala!

kulikuwa na ulazima gani kuliquote litaarifa lote?
 
Wengine wameshazoea kudanganywa ndio maana wakifanyiwa vitu kwa uhalisia wanaona kama hakuna kilichofanyika. wamezoea kupewa kanga, tshirt na kofia kwao ndio kufanya kazi. Angalieni kuna siku hivi vitaondoka then mtabakia kulia milele.

Mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) kulia akikabidhi vitu mbali mbali leo kwa ajili ya Hospitali ya Manispaa ya Iringa Mjini kwa kaimu meya wa Manispaa ya Iringa Vitor Mushi mwenye shati la kijani katikati
Wananchi wakishusha vitanda katika malori leo vitanda ambavyo ni msaada kutoka kwa mbunge Msigwa
Sehemu ya vitanda vilivyotolewa na mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa leo
Hii ndio Hospitali mpya ya Manispaa ya Iringa ambayo mbunge Msigwa amekabidhi vitanda vya kisasa itaanza kutoa huduma jumatatu wiki ijayo
Vitanda vya kisasa vikiwa vimeshushwa katika lori kwa ajili ya matumizi ya Hospitali ya Manispaa ya Iringa
Baiskeli kwa ajili ya walemavu na wagonjwa watakaofika kupatiwa matibabu katika Hospitali hiyo
Mbunge Msigwa akionyesha jinsi ya kuseti vitanda hivyo kwa umeme
Kaimu mstahiki meya wa Manispaa ya Iringa diwani wa kata ya Mtwivila Victor Mushi (CCM) akishukuru kwa msaada huo kutoka kwa mbunge Msigwa (Chadema)
Umati wa wananchi waliofika kushuhudia zoezi hilo nyeti
MBUNGE wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) amekabidhi vitanda vya kisasa 30 pamoja na magodoro yake kwa ajili ya kusaidia kulalia[/QUOTE]
 
Mbunge wa Iringa mjini hafanyi kazi za wananchi kila siku anasema anafanya kazi za kitaifa sisi wananchi tulio mchagua tukiamini mageuzi inatufedhehesha.

Acha ujinga wa mbuni ambaye huficha kichwa chake mchangani kwa matarajio kuwa adui zake hawatamuona. Picha zilizowekwa hapa ni ushahidi tosha wa nini Mhe. Mbunge anawafanyia watu wake.
 
Haaahaahahahahahaaah! huyu gamba aliyeleta hii thread kesha sepa baada ya kuletewa ushahidi wa maana
 
Mbunge wa Iringa mjini hafanyi kazi za wananchi kila siku anasema anafanya kazi za kitaifa sisi wananchi tulio mchagua tukiamini mageuzi inatufedhehesha.

Kwanza ukiingia chooni ni lazima ugonge hodi sasa inakuwaje unaingia bila hata hodi jamvini bwana mdogo? Acha kufuka moshi. Nianishie kazi za wananchi ni zipi ambazo unamananisha Msigwa hafanyi. Umenichefua sana kuanzisha uzi kama hujala siku tatu hivi kwa hiyo una njaa ili Nape akuone akuingize kwenye payroll yake!!!!!
 
Back
Top Bottom