Ama hakika uwezo wa kufikiri wa chama cha magamba inaonekana umetoweka kabisa! Namshangaa sana huyu ndugu anajiita wambuni kwa kutoa taarifa za kuonyesha mhe. Mchg. Peter s msigwa hafai kwa madai amekuwa akidai ana majukumu ya kitaifa, lakini naomba kukukumbusha mambo kwa uchache tu yaliyofanywa na mhe. Msigwa na ambayo hayajawahi kufanywa na mbunge yeyote wa ccm katika historia ya jimbo hili 1. Aligawa jenzi kwa timu 30 ndani ya manispaa ya iringa 2. Alitembelea magereza na kula chakula na wafungwa ikiwa ni pamoja na kujua matatizo yanayowakabili 3. Aligawa vyandarua zaidi ya 100 katika hospitali ya mkoa 4. Alitoa fedha milioni 30 kwaajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa nduli 5. Alitoa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya milioni 100 katika hospitali ya wilaya iliyopo maeneo ya frelimo mjini iringa kama vile vitanda vya kisasa vinavyotumia rimoti, wheel chairs n.K. 6. Ametembelea na kuchangia saccoss mbalimbali ndani ya manispaa ya iringa 7. Ametembelea na kutoa misaada mbalimbali kwenye vituo vya watoto yatima. 8. Amemuweka mwanasheria katika ofisi yake anaepatikana kila siku ya ijumaa kwaajili ya kutoa ushauri kwa wananchi juu ya mambo ya kisheria! Haya yote ameyafanya ndani ya kipindi cha mwaka mmoja tu. Je, ni mbunge gani wa ccm kayafanya haya mpaka sasa? Acheni ushabiki usiokuwa na maana, kwa maendeleo ya jimbo letu msigwa ni chaguo sahihi! Narejesha kwa wana jf.
Huyo ni ombaomba unadhani atakuwa amekuelewa?
Mbunge wa Iringa mjini hafanyi kazi za wananchi kila siku anasema anafanya kazi za kitaifa sisi wananchi tulio mchagua tukiamini mageuzi inatufedhehesha.
Tehe tehe tehe teheeeee!Kwanza ukiingia chooni ni lazima ugonge hodi sasa inakuwaje unaingia bila hata hodi jamvini bwana mdogo? Acha kufuka moshi. Nianishie kazi za wananchi ni zipi ambazo unamananisha Msigwa hafanyi. Umenichefua sana kuanzisha uzi kama hujala siku tatu hivi kwa hiyo una njaa ili Nape akuone akuingize kwenye payroll yake!!!!!
toa upuuzi wako wewe, we ndo wale wale akina mama mbega nini ,
kulikuwa na ulazima gani kuliquote litaarifa lote?
jf ni kisima cha burudanimbunge wa iringa mjini hafanyi kazi za wananchi kila siku anasema anafanya kazi za kitaifa sisi wananchi tulio mchagua tukiamini mageuzi inatufedhehesha.
Nenda kachukue maelezo vizuri kwa aliyekutuma inawezekana ulikuwa unawaza malipo zaidi kuliko kazi. Msaada alioutoa iringa hata rais hawezi kuutoa.Mbunge wa Iringa mjini hafanyi kazi za wananchi kila siku anasema anafanya kazi za kitaifa sisi wananchi tulio mchagua tukiamini mageuzi inatufedhehesha.
Mbunge wa Iringa mjini hafanyi kazi za wananchi kila siku anasema anafanya kazi za kitaifa sisi wananchi tulio mchagua tukiamini mageuzi inatufedhehesha.
Mbunge wa Iringa mjini hafanyi kazi za wananchi kila siku anasema anafanya kazi za kitaifa sisi wananchi tulio mchagua tukiamini mageuzi inatufedhehesha.
Mbunge wa Iringa mjini hafanyi kazi za wananchi kila siku anasema anafanya kazi za kitaifa sisi wananchi tulio mchagua tukiamini mageuzi inatufedhehesha.
umetumia nyundo kuua mbu.MBUNGE WA CHADEMA IRINGA MCHUNGAJI MSIGWA AWAZIBA MIDOMU CCM ,AKABIDHI VITANDA VYA MAMILIONI YA SHILINGI
Mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) kulia akikabidhi vitu mbali mbali leo kwa ajili ya Hospitali ya Manispaa ya Iringa Mjini kwa kaimu meya wa Manispaa ya Iringa Vitor Mushi mwenye shati la kijani katikati
Wananchi wakishusha vitanda katika malori leo vitanda ambavyo ni msaada kutoka kwa mbunge Msigwa
Sehemu ya vitanda vilivyotolewa na mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa leo
![]()
![]()
Hii ndio Hospitali mpya ya Manispaa ya Iringa ambayo mbunge Msigwa amekabidhi vitanda vya kisasa itaanza kutoa huduma jumatatu wiki ijayo
![]()
Vitanda vya kisasa vikiwa vimeshushwa katika lori kwa ajili ya matumizi ya Hospitali ya Manispaa ya Iringa
![]()
![]()
![]()
Baiskeli kwa ajili ya walemavu na wagonjwa watakaofika kupatiwa matibabu katika Hospitali hiyo
Mbunge Msigwa akionyesha jinsi ya kuseti vitanda hivyo kwa umeme
Kaimu mstahiki meya wa Manispaa ya Iringa diwani wa kata ya Mtwivila Victor Mushi (CCM) akishukuru kwa msaada huo kutoka kwa mbunge Msigwa (Chadema)
Umati wa wananchi waliofika kushuhudia zoezi hilo nyeti
MBUNGE wa jimbo la Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) amekabidhi vitanda vya kisasa 30 pamoja na magodoro yake kwa ajili ya kusaidia kulalia
Mbunge wa Iringa mjini hafanyi kazi za wananchi kila siku anasema anafanya kazi za kitaifa sisi wananchi tulio mchagua tukiamini mageuzi inatufedhehesha.