Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Nimekuwa nikifuatilia Bunge kwa Karibu sana Pamoja na Njama za Serikali kuanzisha Mgao wa Umeme ili Tusione Minyukano mikali inayoendelea katika Bunge hili lililojaa Changamoto Mbalimbali ( Mpaka jana Mheshimiwa Jenista Mhagama Kukimbia Kiti).
Nimekuwa nikivutiwa na Hoja zinazotolewa na wabunge wengi kwa kutaja Wachache, Mh Zitto, Mbowe, Lisu, Mnyika, January Makamba, Mdee na wengine ambao kwa Kweli WANATAMBUA NINI KAZI ZA MBUNGE na WANATAMBUA TOFAUTI ILIYOPO KATI YA BUNGE NA SERIKALI.
Nimeshawahi kuandika huko Nyuma "Kwa Nini Wabunge wa CCM wanahisi kwamba wao ni Sehemu ya Serikali". Kuna wabunge kwa kweli wanakera sana maana wao wamejifanya kuwa ni MAWAZIRI ambao wao VINARA wa kutoa TAARIFA ambazo logicaly zingepaswa kutolewa na MAWAZIRI.
Napenda kuchukua nafasi Kumshauri mbunge wangu ndugu Hamisi Andrew Kigwangala alias Saidi Bagaile Aaangalie Mwenendo wake wa kutoa kauli za uongo zinazowaudhi wapiga Kura wake ( Wapi Selelii Lukas Lumambo).
Nimekuwa nikivutiwa na Hoja zinazotolewa na wabunge wengi kwa kutaja Wachache, Mh Zitto, Mbowe, Lisu, Mnyika, January Makamba, Mdee na wengine ambao kwa Kweli WANATAMBUA NINI KAZI ZA MBUNGE na WANATAMBUA TOFAUTI ILIYOPO KATI YA BUNGE NA SERIKALI.
Nimeshawahi kuandika huko Nyuma "Kwa Nini Wabunge wa CCM wanahisi kwamba wao ni Sehemu ya Serikali". Kuna wabunge kwa kweli wanakera sana maana wao wamejifanya kuwa ni MAWAZIRI ambao wao VINARA wa kutoa TAARIFA ambazo logicaly zingepaswa kutolewa na MAWAZIRI.
Napenda kuchukua nafasi Kumshauri mbunge wangu ndugu Hamisi Andrew Kigwangala alias Saidi Bagaile Aaangalie Mwenendo wake wa kutoa kauli za uongo zinazowaudhi wapiga Kura wake ( Wapi Selelii Lukas Lumambo).