Katiba Mpya Muhimu, Mawaziri na Makatibu wakuu ni wadhaifu

Patriot

JF-Expert Member
Feb 11, 2008
5,698
4,693
Muundo wa serikali yetu, rais analazimika kuteua mawaziri kutoka ktk wabunge. Akikosa mtu anayefaa, rais amepewa nafasi za kuteua wabunge. Utaratibu huo unampa rais nafasi ya kuteua mbunge ili amtumie ktk nafasi ya uwaziri. Ubunge wa kuteua umekuwa ni kama sadaka na zawadi tu.

Katika uteuzi wa mawaziri unaoendelea nchini Kenya, moja ya kigezo kinachoangaliwa na Bunge ili kumpitisha waziri ni taaluma imnayoendana na Wizara. Hii sasa kwa Kenya wanatupiga! Wabunge wote wa Kenya wana digrii. Mawaziri lazima wawe na taaluma husika.

Kwa TZ hali ni mbaya. Unakuta Wizara ina waziri na Katibu mkuu ambao wote hawana elimu ya taaluma husika. Kwa nguvu ya madaraka yao, wakurugenzi, makamishna na wasidizi wao wanajikuta kwenye hali ngumu ya utendaji. Kila siku ni kuhangaika kuona kama waziri au Katibu mkuu anashauliwa au ni Yule anayejidai ni boss tu!

Wizara hazina matokeo yoyote mazuri. Utendaji unapimwa kwa kelele za mawaziri kukemea watu hovyo tu! Kwa kuwa busara za marais hazitumiki, sasa tunataka katiba mpya!.
 
Ilitakiwa Katibu Mkuu awe ni wa taaluma husika, lakini ni kweli kuna baadhi ya Wizara unakuta wote walio juu ni 'maimuna' Tangu waziri, katibu mkuu na naibu wake wote wanakuwa ni mbu-mbu-mbu! HATARI sana!
 
Muundo wa serikali yetu, rais analazimika kuteua mawaziri kutoka ktk wabunge. Akikosa mtu anayefaa, rais amepewa nafasi za kuteua wabunge. Utaratibu huo unampa rais nafasi ya kuteua mbunge ili amtumie ktk nafasi ya uwaziri. Ubunge wa kuteua umekuwa ni kama sadaka na zawadi tu.

Katika uteuzi wa mawaziri unaoendelea nchini Kenya, moja ya kigezo kinachoangaliwa na Bunge ili kumpitisha waziri ni taaluma imnayoendana na Wizara. Hii sasa kwa Kenya wanatupiga! Wabunge wote wa Kenya wana digrii. Mawaziri lazima wawe na taaluma husika.

Kwa TZ hali ni mbaya. Unakuta Wizara ina waziri na Katibu mkuu ambao wote hawana elimu ya taaluma husika. Kwa nguvu ya madaraka yao, wakurugenzi, makamishna na wasidizi wao wanajikuta kwenye hali ngumu ya utendaji. Kila siku ni kuhangaika kuona kama waziri au Katibu mkuu anashauliwa au ni Yule anayejidai ni boss tu!

Wizara hazina matokeo yoyote mazuri. Utendaji unapimwa kwa kelele za mawaziri kukemea watu hovyo tu! Kwa kuwa busara za marais hazitumiki, sasa tunataka katiba mpya!.
NCHI YA WEZI
 
Usilinganishe Kenya na Nchi ya wajinga hii !!!
Tanzania Rais anaweza kuteua Waziri asiyejua hata kusoma vizuri ( Rejea yule Mama Mzanzibar anayebebwa kuna wakati alikuwa Naibu Waziri wa Fedha na Sasa baada ya Aibu amewekwa Wizara ya Wanawake sijui jinsia na madudu gani)!
Yule wa Kilwa ambaye alishindwa kuapa mbele Hayati Rais Magufuli kuwa Naibu Waziri wa Madini?!
Bila Katiba Mpya yenye kupunguza madaraka ya Rais basi Tanzania itaendelea kuwa na Mawaziri ambao wangestahili kuwa MamaLishe au BabaLishe!!
 
Muundo wa serikali yetu, rais analazimika kuteua mawaziri kutoka ktk wabunge. Akikosa mtu anayefaa, rais amepewa nafasi za kuteua wabunge. Utaratibu huo unampa rais nafasi ya kuteua mbunge ili amtumie ktk nafasi ya uwaziri. Ubunge wa kuteua umekuwa ni kama sadaka na zawadi tu.
Mkuu Patriot, kwanza naunga mkono hoja, hili la uteuzi wa zawadi au sadaka kwenye key portifolios nimeshauri tuachane nalo, rais aendelee kuteua ila Bunge ndio liwafanyie endorsment. Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?
Katika uteuzi wa mawaziri unaoendelea nchini Kenya, moja ya kigezo kinachoangaliwa na Bunge ili kumpitisha waziri ni taaluma imnayoendana na Wizara. Hii sasa kwa Kenya wanatupiga! Wabunge wote wa Kenya wana digrii. Mawaziri lazima wawe na taaluma husika.
Naunga mkono hoja, we should do the same.
Kwa TZ hali ni mbaya. Unakuta Wizara ina waziri na Katibu mkuu ambao wote hawana elimu ya taaluma husika. Kwa nguvu ya madaraka yao, wakurugenzi, makamishna na wasidizi wao wanajikuta kwenye hali ngumu ya utendaji. Kila siku ni kuhangaika kuona kama waziri au Katibu mkuu anashaurika au ni yule anayejidai ni boss tu!
Naunga mkono hoja. Key ministries ziongozwe na top professionals wa fani husika.
Wizara hazina matokeo yoyote mazuri.
Hii sii kweli, wizara nyingi zinafanya kazi nzuri na matokeo mazuru kila uchao tunayaona kwenye media.
Utendaji unapimwa kwa kelele za mawaziri kukemea watu hovyo tu!
Pia hii sii kweli, sio kwa wote ila ni kwa baadhi na hili tuliisha wahi kulizungumza humu, Je, huu ni ufuatiliaji wa uwajibikaji au udhalilishaji kwa bullying na intimidation?. tukalizungumza tena Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana! na pia tukashauri Awamu ya tano: Kuweni Wakali, msionee! Tangulizeni utu na ubinaadamu kwanza!
Kwa kuwa busara za marais hazitumiki,
Hii pia sii kweli, busara ni kitu kinachohitajika kwanza kiwepo, ndipo kitumike. Busara ikiwepo halafu haijatumika, ndipo unaweza kusema busara za marais hazitumiki, ikitokea tukapata rais ambaye hata hiyo busara ya kutumika haipo, huwezi kusema busara za marais hazitumiki!.
Thank God, huyu aliyepo sasa ana busara ila pia ana changamoto...
sasa tunataka katiba mpya!.
Umuhimu wa hitaji la katiba mpya kila mtu anaukubali, hata Mama hili amelikubali, ila ilo kupata katiba mpya ni mchakato mrefu unaohitaji time and resources, hivyo we have to make choices tuanze na nini, Mama amefanya chaguo la busara kuwa tuanze na kujenga uchumi kwanza ndipo tuje kwenye katiba mpya, lakini wakati tukijenga nchi na kujenga uchumi, yale ya kero kubwa za katiba iliyopo tunaweza kuyashughulikia kuyaondosha kwanza ioi mambo yawe mazuri, na ndio Mama akaunda kikosi kazi. Hizi ni busara tosha. Matokeo ya kikosi kazi yataleta marekebisho ya katiba.
Tumpe Mama muda.
Kazi iendelee.
P
 
Ilitakiwa Katibu Mkuu awe ni wa taaluma husika, lakini ni kweli kuna baadhi ya Wizara unakuta wote walio juu ni 'maimuna' Tangu waziri, katibu mkuu na naibu wake wote wanakuwa ni mbu-mbu-mbu! HATARI sana!
Utakuta waziri wa Nishati hajui hata Gesi na mafuta nini
 
Matokeo yake ndio una kutana na Trab na Trat yayayayayayayayayayayayayayayaya,
inabidi tuchukue mfano kwa wakenya, tena viongozi wetu wajiulize ni kwa nini wakenya wametuzidi mbali kwenye uchumi na ikiwa sisi tuna rasilimali nyingi kuliko wao? Alafu wakipata majibu wachukue hatua.
 
Mkuu Patriot, kwanza naunga mkono hoja, hili la uteuzi wa zawadi au sadaka kwenye key portifolios nimeshauri tuachane nalo, rais aendelee kuteua ila Bunge ndio liwafanyie endorsment. Should We Demand More Right to Information Kwenye Teuzi za Key Posts? Ziwe Endorsed na Bunge With Security of Tenure? Mawaziri Wasiwe Wabunge?

Naunga mkono hoja, we should do the same.

Naunga mkono hoja. Key ministries ziongozwe na top professionals wa fani husika.

Hii sii kweli, wizara nyingi zinafanya kazi nzuri na matokeo mazuru kila uchao tunayaona kwenye media.

Pia hii sii kweli, sio kwa wote ila ni kwa baadhi na hili tuliisha wahi kulizungumza humu, Je, huu ni ufuatiliaji wa uwajibikaji au udhalilishaji kwa bullying na intimidation?. tukalizungumza tena Anachofanya Waziri Mkuu sio sawa, sio haki, sio Good Governance! Ni udhalilishaji na kuaibishana! na pia tukashauri Awamu ya tano: Kuweni Wakali, msionee! Tangulizeni utu na ubinaadamu kwanza!

Hii pia sii kweli, busara ni kitu kinachohitajika kwanza kiwepo, ndipo kitumike. Busara ikiwepo halafu haijatumika, ndipo unaweza kusema busara za marais hazitumiki, ikitokea tukapata rais ambaye hata hiyo busara ya kutumika haipo, huwezi kusema busara za marais hazitumiki!.
Thank God, huyu aliyepo sasa ana busara ila pia ana changamoto...

Umuhimu wa hitaji la katiba mpya kila mtu anaukubali, hata Mama hili amelikubali, ila ilo kupata katiba mpya ni mchakato mrefu unaohitaji time and resources, hivyo we have to make choices tuanze na nini, Mama amefanya chaguo la busara kuwa tuanze na kujenga uchumi kwanza ndipo tuje kwenye katiba mpya, lakini wakati tukijenga nchi na kujenga uchumi, yale ya kero kubwa za katiba iliyopo tunaweza kuyashughulikia kuyaondosha kwanza ioi mambo yawe mazuri, na ndio Mama akaunda kikosi kazi. Hizi ni busara tosha. Matokeo ya kikosi kazi yataleta marekebisho ya katiba.
Tumpe Mama muda.
Kazi iendelee.
P
Naomba niulize swali moja tu! Ni Wizara gani ina utendaji mzuri ktk nchi/serikali hii?

Hali tuliyonayo kwa ujumla ni kwamba Hakuna Waziri ambaye anafanyakazi kwa uaminifu. Ikulu sijakaa, lakini uliza tangu ofisi ya Makamu wa Rais, waziri mkuu na wizara zote. Walioko juu bahati mbaya wanawatumia watu wa chini ambao ndo watekelezaji wa bajeti ili kuchota pesa ya serikali. Ndo maana hakuna Halmashuri iliyo na ufanisi. Unachokiona ktk sekat za Afya, maji, miundombinu nk. nasema tena ni kelele tu za mawaziri. Chini hakuna kitu. Pesa ya afya inaibiwa. Pesa ya maji inaibiwa. Pesa ya miundombinu inaibiwa, hata pesa ya elimu inaibiwa!!

Udhaifu wa rais uko wazi. Rais anapopewa nguvu ya uteuzi, ni kwa imani kwamba atatum,ia busara kuweka walio bora. Je, unavyoona, ni waziri gani unaweza ukamsifu kwa ubora. Anza na waziri muhimu wa fedha aliyekosa busara na kuwaambia wa-TZ kwenda Burundi, bado rais anaye ktk baraza. Je, rais anatumia busara? Ulimsikia mtoto wa Simbachawene akiwatukana watu barabarani na baadaye Simbacahwene mwenyewe kusema sheria ichukue mkondo wake, ulishasikia kesi yoyote ikienedelea? Hapo una waziri kweli? Rais ana busara kweli? NI MENGI!
 
Muundo wa serikali yetu, rais analazimika kuteua mawaziri kutoka ktk wabunge. Akikosa mtu anayefaa, rais amepewa nafasi za kuteua wabunge. Utaratibu huo unampa rais nafasi ya kuteua mbunge ili amtumie ktk nafasi ya uwaziri. Ubunge wa kuteua umekuwa ni kama sadaka na zawadi tu.

Katika uteuzi wa mawaziri unaoendelea nchini Kenya, moja ya kigezo kinachoangaliwa na Bunge ili kumpitisha waziri ni taaluma imnayoendana na Wizara. Hii sasa kwa Kenya wanatupiga! Wabunge wote wa Kenya wana digrii. Mawaziri lazima wawe na taaluma husika.

Kwa TZ hali ni mbaya. Unakuta Wizara ina waziri na Katibu mkuu ambao wote hawana elimu ya taaluma husika. Kwa nguvu ya madaraka yao, wakurugenzi, makamishna na wasidizi wao wanajikuta kwenye hali ngumu ya utendaji. Kila siku ni kuhangaika kuona kama waziri au Katibu mkuu anashauliwa au ni Yule anayejidai ni boss tu!

Wizara hazina matokeo yoyote mazuri. Utendaji unapimwa kwa kelele za mawaziri kukemea watu hovyo tu! Kwa kuwa busara za marais hazitumiki, sasa tunataka katiba mpya!.
Mpak itakapofika mahali kuwa ccm inawez kushindwa ktk uchaguzi ndipo watafanya maendeleo na mabadiliko ya kiuongozi.
 
Matokeo yake ndio una kutana na Trab na Trat yayayayayayayayayayayayayayayaya,
inabidi tuchukue mfano kwa wakenya, tena viongozi wetu wajiulize ni kwa nini wakenya wametuzidi mbali kwenye uchumi na ikiwa sisi tuna rasilimali nyingi kuliko wao? Alafu wakipata majibu wachukue hatua.
🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom