jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,602
- 3,783
darfur mkuuWhere are we heading Tanzania ???
darfur mkuuWhere are we heading Tanzania ???
Hakuna majuto,kila Watz wanajua nani alishinda ki haki...Tujifunze 2020 kura ziwe nyingi hata zikipunguzwa ushindi uko palepaleWatanzania wanajutia maamuzi ya Uchaguzi mkuu 2015
Hakuna haja ya mazungumzo tunataka kuona nani mshindi hii mazungumzo baada ya kuapata mshindi
Tunaelekea kwenye nidhamu, wasifikiri kuwa ni wabunge basi wataachwa wafanye wanalo taka.Hii nchi sijui tunaelekea wapi
Mungu atusaidie tu
Unataka kuzungumza nini na mhalifu?Hivi kwa mwendo huu kuna haja ya mazungumzo?
Lakini sasa usisemee huku kwenye mitandao watakuja kukukamata na weweHii ya kukamata viongozi wetu itatufanya tuanze maandamano kabla ya tar 1
Umeshamaliza kumhoji?Mpaka sasa hivi sijaona KOSA la Godbless.
kama wanafanya vurugu kwanini wasifungwe kabisa wakapoteaKama hawataki kufanya kazi wako busy na vurugu kwanini wasikamatwe?
This is strange. Unamkamata mtu kabla hujajua kosa? Jamani nchi inaporomoka kisa ni tofauti ya itikadi ya kisiasa. Polisi acheni kutuingiza kwenye machafuko.Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa Askari Polisi walivamia nyumbani kwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mh Godbless Lema alfajiri ya leo na kumkamata.
Hivi sasa yupo central police ya Arusha.
Sababu za kukamatwa kwake haijajulikana bado....
Tutawajuza kila kitakachokuwa kinajiri
=======
UPDATES;
Polisi Arusha imesema inaendelea kumshikilia Mbunge Lema na baada ya upelelezi kukamilika watampeleka Mahakamani.
Hii ya kukamata viongozi wetu itatufanya tuanze maandamano kabla ya tar 1
Serikali inaendelea kupuyanga