Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,982
- 1,009
Wote wawili nasikia wanajiita walokole! Kama sikosei tumeisha rudisha mahusiano ya kibalozi. Balozi wa Israel Kenya ndiye anawakilisha nchi yake hapa Tanzania.
Back from ban. wadau huyo mlokole anaeitwa doc mwanjelwa ndo yule aliyeiba mashuka ya gesti kule arusha au mwingine?