Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
Rais samia akiwasalimia Wananchi wa Somanga akiwa njiani kuelekea Jijini Dar es Salaam
MBUNGE: UMEME UMEKATIKA MARA 21 NDANI YA SIKU MBILI
Mbunge wa Kilwa Kaskazini, Francis Ndulane akielezea changamoto ya umeme kukatika katika Jimbo hilo na kusababisha kero kubwa kwa Wananchi, amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan aliposimama kusalimia Wananchi wa Somanga akiwa njiani kuelekea Dar es Salaam, leo Septemba 20, 2023.
MBUNGE: UMEME UMEKATIKA MARA 21 NDANI YA SIKU MBILI
Mbunge wa Kilwa Kaskazini, Francis Ndulane akielezea changamoto ya umeme kukatika katika Jimbo hilo na kusababisha kero kubwa kwa Wananchi, amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan aliposimama kusalimia Wananchi wa Somanga akiwa njiani kuelekea Dar es Salaam, leo Septemba 20, 2023.