Je utaratibu huu wa mbunge kabla ya kutoa mchango wake anakuwa na orodha ndefu ya watu wa kuwapa shukrani, nashukuru mtoto wangu mdogo, nashukuru bla bla.
Je haya ndiyo mambo wananchi wanahitaji kusikia toka kwa wawakilishi wao pale bungeni?
kizazi cha bongofleva mpaka bungeni kutajana majina tuuuu na shukrani inaudhi kweli hawa ghasia katumia dk kumi nzima anashukuru tuuuu wakati hotuba yake mbovuuu no mshahara kuongezwa.
Je utaratibu huu wa mbunge kabla ya kutoa mchango wake anakuwa na orodha ndefu ya watu wa kuwapa shukrani, nashukuru mtoto wangu mdogo, nashukuru bla bla.
Je haya ndiyo mambo wananchi wanahitaji kusikia toka kwa wawakilishi wao pale bungeni?
Umenisemea mama, leo umenyoosha kweli.Ni jambo la kupoteza muda, kwa kuwa hawana hoja. Halina maana kabisa. Nimemsikia Spika akiwaambia msipoteze muda kwa kupongezana, lakini haya majitu hayasikii.
Umenisemea mama, leo umenyoosha kweli.
Inauma sana ndugu yangu!hii inaashiria ni kiasi gani wabunge wetu hawataki kwenda majimboni,badala yake pongezi zote zinatolewa mjengoni!ni upuuzi!mbunge wa magamba anashukuru, anatambulisha wageni wake wawili watatu, analaumu maandamano na migomo kisha anaunga mkono hoja anakaa anasubiri posho huku amelala na kutoka udenda kidogo siku imeenda. wamefanya hivyo kwa karibu miaka 50 sasa.