Hii inchi hiiMbunge wa Jimbo la Ole Zanzibar Said Salima Hamad ajinadi kwa Lugha ya Kifaransa bungeni wakati wabunge wakiomba kura katika uwakilishi wa Taasisi mbalimbali leo februari 5, 2026
Umekisikiliza vizuri kiingereza chake?Kobaz mwezetu katuwakilisha vizur, sema kuna kafiri nasikia kazngua hatar anapiga I goes
Kafir Bakari Shingo kaaibika mbele ya BungeKobaz mwezetu katuwakilisha vizur, sema kuna kafiri nasikia kazngua hatar anapiga I goes
Lugha za nini sheikh wangu!?..xi Jin ping hapendi huo ujingaTunatia aibu kwenye suala la lugha
BAKARIKafir Bakari Shingo kaaibika mbele ya Bunge
Kujifananisha na China sio sawa. Hao China kiuchumi wako mbali mno. Sisi kufahamu lugha zao itatusaidia kwenye mambo mengi. Hata wachina wenyewe hujifunza kiingereza ili kuwasiliana na wateja wao.Lugha za nini sheikh wangu!?..xi Jin ping hapendi huo ujinga
Amesema Mother Tongue ya DRC ni kifaransa. Nchi hazina Mother Tongue.Hicho kifaransa chenyewe huenda hata hakijanyooka ye kachanganya maneno ili mradi ni ya kifaransa tu hahahaa
Hebu wewe jaribu kuongea uone kama utawezaDaah sema Leo nimegundua kiingereza ni lugha tu kama kilivyo kimakonde.
Kuna dada hajasoma hata kuandika jina lake hawezi.lakini anaongea kiingereza na wahindi utasema ni msomi.ila hajui kuandika wala kusoma.ila lafudhi imenyooka.
Watu hawakumuelewa alichokifanya.Umekisikiliza vizuri kiingereza chake?
Amandla...
Mbunge wa Ukonga Shekhe Bakari Shingo ameboronga balaaKobaz mwezetu katuwakilisha vizur, sema kuna kafiri nasikia kazngua hatar anapiga I goes