- Thread starter
- #21
waandish wa tanzania hata wakiona ameingiza kojoleo akihongwa bia mbili chakoni chako na paja la kuku wa kienyeji anaipotezeadah kumbe misri mi nilidhani ni mbunge wa tz utamu umekatika
waandish wa tanzania hata wakiona ameingiza kojoleo akihongwa bia mbili chakoni chako na paja la kuku wa kienyeji anaipotezeadah kumbe misri mi nilidhani ni mbunge wa tz utamu umekatika
HAHAHAAAAAAAAA,,,SI URONGO:A S-baby::A S-baby:dah! ndio maana mzee mwinyi alisema "gonjwa limekaa pabaya".
Mbona ni kawaida saaana hio mkuu, maisha ni mafupi RAHA JIPE Mwenyewe,
Ungesema "aliyekuwa" mbunge maana huyo kisha hukumiwa ina maana na ubunge hanao tena. Natamani sheria kama hizi za uzinzi zingefika hapa kwetu.
umemaliza?wabunge ni watu tu kama wengine, with 'feelings' and 'frailities" as well. Na ujue, haya mambo yanafanyika na watu wengi sana, sema kwa kuwa habari ikiwa inagusa mtu anaye enjoy high public profile, inakuwa rahisi kufahamika nk. Tendo la ngono, achana nalo bwana. Hakuna hero pale.
ila wanaume hufata utelezi kwa wanawake maana utamu wanao wenyewe,,,,,,,,:israel:layball:
Ungesema "aliyekuwa" mbunge maana huyo kisha hukumiwa ina maana na ubunge hanao tena. Natamani sheria kama hizi za uzinzi zingefika hapa kwetu.
Nilidhani mbunge wetu kumbe Misri.
angekuwa mbunge mwanamke nina uhakika angepigwa mawe hadi kufaKuishi kinafiki ndiko kunako wafikisha hapa.
Wanasimamia wasichoweza kutekeleza
angekuwa mbunge mwanamke nina uhakika angepigwa mawe hadi kufa