jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,368
Na magu mtamteka?Umekamatika nyumbu ndama wewe. Wanafiki wakubwa nyie
Na magu mtamteka?Umekamatika nyumbu ndama wewe. Wanafiki wakubwa nyie
Nawe je? au ndizo uzijuazo?Unaota wewe ndoto za kitanda.
Jiulize wewe uliyeota kuwa “unataka ufahamishwe kama ni uchochezi ama kosa la kimtandao” kufukua makaburi.😳🤷🏾♂️Nawe je? au ndizo uzijuazo?
kama ni kufukua makaburi huo ni uchochezi mkuu!Jiulize wewe uliyeota kuwa “unataka ufahamishwe kama ni uchochezi ama kosa la kimtandao” kufukua makaburi.😳🤷🏾♂️
Ni uchochezi kupitia habari za nyuma?kama ni kufukua makaburi huo ni uchochezi mkuu!
Na kweli imekujaTanzania ina listi ya mafisadi hatari sana wenye asili ya kigeni ambao wamewaweka waandishi karibu wote kwenye mfuko. Pia vyombo vya dola na viongozi wengi (mpaka wa upinzani) wanahongwa na hawa jamaa. Wakiona mtu yeyote anawabughudhi wako tayari kuhonga fedha nyingi ili wamnunue au wamuangamize. Hawa mafisadi wanajua namna na kunyemelea na kukwapua raslimali za nchi.... ole wao ole wao ole wao. Yana mwisho....
1. Roztam aziz
2. Yususf Manji
3. Mohamed enterprises
4. Tania Somaia.
Hili ni listi ya hatari sana. Ole wao ole wao.....ole wao..... siku isiyo na jina yaja...
Sasa naona kumekuchaMETL chini ya Mohamed Dewji siwapendi kabisa ni hatari kuliko hata mapacha 3,wamenunua kwa bei chee mahekta ya mashamba ya mkonge Tanga kwa kisingizio watayaendeleza na kukuza ajira badala yake hati zake wametumia kuomba mabilioni ya mkopo kutoka benki za nje na kujinufaisha wenyewe huu ni aina ya unyonyaji haifai kuwachekea kwa vileee.
Unganisha dot acha kulalamaNajua ni kufunua makaburi,ila nadhani hujanielewa,si nimesema bandiko hili ni la 2011?Doesn't that make it clear that this article is not fresh?Swali langu ni kwamba kwa nini hayo makaburi yafukuliwe sasa wakati kuna tukio la kutekwa kwa Mo?Yaani ni kama kuna attempts za kujaribu ku-justify kutekwa kwake hivii.Mm,there is something unusual here.
Kwa nini wewe haukuyanunua? Maafisa waliomuuzia kwani aliwalazimisha,unatakaje ayarudishe au mmlipe fedha na fidia maana alichofanya alifanya kwa mpango na sio kama unavyodhaniMETL chini ya Mohamed Dewji siwapendi kabisa ni hatari kuliko hata mapacha 3,wamenunua kwa bei chee mahekta ya mashamba ya mkonge Tanga kwa kisingizio watayaendeleza na kukuza ajira badala yake hati zake wametumia kuomba mabilioni ya mkopo kutoka benki za nje na kujinufaisha wenyewe huu ni aina ya unyonyaji haifai kuwachekea kwa vileee.
Kwa nini wewe haukuyanunua? Maafisa waliomuuzia kwani aliwalazimisha,unatakaje ayarudishe au mmlipe fedha na fidia maana alichofanya alifanya kwa mpango na sio kama unavyodhaniMETL chini ya Mohamed Dewji siwapendi kabisa ni hatari kuliko hata mapacha 3,wamenunua kwa bei chee mahekta ya mashamba ya mkonge Tanga kwa kisingizio watayaendeleza na kukuza ajira badala yake hati zake wametumia kuomba mabilioni ya mkopo kutoka benki za nje na kujinufaisha wenyewe huu ni aina ya unyonyaji haifai kuwachekea kwa vileee.
Mkuu Uko kwenye system wewe😀Hiyo comment niliandika mwaka 2011. Rostam aliwahi kukimbia...
Katika kanuni ya mtaalam mmoja kuna hii kitu inaitwa bargain power of SUPPLIER/PROVIDER na bargain power of BUYER sasa hapo ndipo utajua kwa nini unaambiwa uende shule,asilimia kubwa wakulima shule haipo kichwaniWho is to blame? The farmers/sellers or buyers?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu Uko kwenye system wewe[emoji3]
Mbona sijalalama?Nadhani hujui maana ya kulalama.Unganisha dot acha kulalama
Ndivyo nifikiriavyo mkuu!Ni uchochezi kupitia habari za nyuma?
DuhTanzania ina listi ya mafisadi hatari sana wenye asili ya kigeni ambao wamewaweka waandishi karibu wote kwenye mfuko. Pia vyombo vya dola na viongozi wengi (mpaka wa upinzani) wanahongwa na hawa jamaa. Wakiona mtu yeyote anawabughudhi wako tayari kuhonga fedha nyingi ili wamnunue au wamuangamize. Hawa mafisadi wanajua namna na kunyemelea na kukwapua raslimali za nchi.... ole wao ole wao ole wao. Yana mwisho....
1. Roztam aziz
2. Yususf Manji
3. Mohamed enterprises
4. Tania Somaia.
Hili ni listi ya hatari sana. Ole wao ole wao.....ole wao..... siku isiyo na jina yaja...