Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,845
- 4,776
DuhHizi kampuni zimewakamata sawasawa viongozi wakubwa wa nchi hii kiasi kwamba hawaoni sababu yoyote ya kuhoji kinachoendelea ndani ya kampuni hizo. Kampuni hizi zikae zikijua watanzania wanaona jinsi rasilimali zao zikihujumiwa na kutoa viji-misaada visivyo na kichwa wala miguu. Iko siku kitaeleweka.