Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,436
- 23,102
Najua ni kufunua makaburi,ila nadhani hujanielewa,si nimesema bandiko hili ni la 2011?Doesn't that make it clear that this article is not fresh?Swali langu ni kwamba kwa nini hayo makaburi yafukuliwe sasa wakati kuna tukio la kutekwa kwa Mo?Yaani ni kama kuna attempts za kujaribu ku-justify kutekwa kwake hivii.Mm,there is something unusual here.Halijaletwa, ni kaburi limefukuliwa mkuu. We mgeni humu?