Mbu kanipatia msongo wa mawazo

Mbu kanipatia msongo wa mawazo

Hakika leo nimekumbwa na msongo kisa mbu. Nimeamka asubuhi nikakuta mbu ndani ya neti. Kitu cha kushangaza ni kuwa alikua ametuna tumbo mpka kupaa ilikuwa tabu kwake. Yaani kaninyonya damu mpaka basi.

Nimeumia sana kwa kumwona. Na hadi sasa nipo kazini roho inaniuma nikiwaza alipata upenyo upi kuingia ndani ya neti isiyo na tundu?

Hapa najiuliza atakuwa yule anopheles wa malaliria ama? Daah kuna vitu vinaweza kuwa vya kijinga ila vikamkaa mtu na asiongelee maana ataonwa mjinga.
Ngoja nijipulize na rungu usijeniongezea na mm msongowamawazo Kinga bora kuliko
 
Hakika leo nimekumbwa na msongo kisa mbu. Nimeamka asubuhi nikakuta mbu ndani ya neti. Kitu cha kushangaza ni kuwa alikua ametuna tumbo mpka kupaa ilikuwa tabu kwake. Yaani kaninyonya damu mpaka basi.

Nimeumia sana kwa kumwona. Na hadi sasa nipo kazini roho inaniuma nikiwaza alipata upenyo upi kuingia ndani ya neti isiyo na tundu?

Hapa najiuliza atakuwa yule anopheles wa malaliria ama? Daah kuna vitu vinaweza kuwa vya kijinga ila vikamkaa mtu na asiongelee maana ataonwa mjinga.
Pole
 
Hakika leo nimekumbwa na msongo kisa mbu. Nimeamka asubuhi nikakuta mbu ndani ya neti. Kitu cha kushangaza ni kuwa alikua ametuna tumbo mpka kupaa ilikuwa tabu kwake. Yaani kaninyonya damu mpaka basi.

Nimeumia sana kwa kumwona. Na hadi sasa nipo kazini roho inaniuma nikiwaza alipata upenyo upi kuingia ndani ya neti isiyo na tundu?

Hapa najiuliza atakuwa yule anopheles wa malaliria ama? Daah kuna vitu vinaweza kuwa vya kijinga ila vikamkaa mtu na asiongelee maana ataonwa mjinga.
Dogo/kubwa chapa fumigation hiyo mazingira bablai, ni laki tu!. Tunawaza mambo ya kutaifa humu.
 
Hakika leo nimekumbwa na msongo kisa mbu. Nimeamka asubuhi nikakuta mbu ndani ya neti. Kitu cha kushangaza ni kuwa alikua ametuna tumbo mpka kupaa ilikuwa tabu kwake. Yaani kaninyonya damu mpaka basi.

Nimeumia sana kwa kumwona. Na hadi sasa nipo kazini roho inaniuma nikiwaza alipata upenyo upi kuingia ndani ya neti isiyo na tundu?

Hapa najiuliza atakuwa yule anopheles wa malaliria ama? Daah kuna vitu vinaweza kuwa vya kijinga ila vikamkaa mtu na asiongelee maana ataonwa mjinga.
HOME OF GLITI SINKAZ secretarybird
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom