Mbu kanipatia msongo wa mawazo

Mbu kanipatia msongo wa mawazo

Hakika leo nimekumbwa na msongo kisa mbu. Nimeamka asubuhi nikakuta mbu ndani ya neti. Kitu cha kushangaza ni kuwa alikua ametuna tumbo mpka kupaa ilikuwa tabu kwake. Yaani kaninyonya damu mpaka basi.
Mjomba acha kulalamika -damu yenyewe aliyonyonya hata cc 1 (1ml) haifiki
Nimeumia sana kwa kumwona. Na hadi sasa nipo kazini roho inaniuma nikiwaza alipata upenyo upi kuingia ndani ya neti isiyo na tundu?
Mliingia pamoja ila ww hukumwona eti unapotezea.
Hapa najiuliza atakuwa yule anopheles wa malaliria ama? Daah kuna vitu vinaweza kuwa vya kijinga ila vikamkaa mtu na asiongelee maana ataonwa mjinga.
Kuumwa na mbu sio lazima upate malaria. Kuna homa ya Dengue.
 
Mjomba acha kulalamika -damu yenyewe aliyonyonya hata cc 1 (1ml) haifiki

Mliingia pamoja ila ww hukumwona eti unapotezea.

Kuumwa na mbu sio lazima upate malaria. Kuna homa ya Dengue.
Homa ya dengue ndo ugonjwa gani
 
Homa ya dengue ndo ugonjwa gani
"Homa ya dengue" in English is dengue fever. It is a viral infection transmitted to humans through the bite of infected Aedes mosquitoes, commonly found in tropical and subtropical climates
Ilitikisa sana DSM hapo majuzi kati.
 
"Homa ya dengue" in English is dengue fever. It is a viral infection transmitted to humans through the bite of infected Aedes mosquitoes, commonly found in tropical and subtropical climates
Ilitikisa sana DSM hapo majuzi kati.
Wacha kunitisha mzee
 
Wacha kunitisha mzee
Huo ndo ukweli. Chukua tahadhari kwani ugonjwa huo hauna kinga au matibabu rasmi. Ukienda hospitali utatibiwa dawa za kupunguza maumivu na kuuwezesha mwili ujipambanie wenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom