Mwashambwa wewe ni Roman Catholic!! Ngumu sana kuamini.Romani Catholic.
Mlaumu Magufuli aliyempa nafasi ya u VPSamia huyo,!
Ukimuona anavyozurura huko angani utafikiri yuko serious!
Namlaumu sana Mabeyo ile kukuru kakara ya uapisho kumbe wenzie waliona mbali
Mwananchi gani anaweza kubadilisha mshahara wa mbunge?😆Swali la kijinga.
Hivi hata ukiwa ni wewe umeingia bungeni, ukakuta mshahara ni huo, utaacha kuupokea? Na ukiuacha itasaidia nini?
Lakini ukiingia huko, ukakuta mshahara ni huo, na ukaona kwa kuzingatia uhalisia wa nchi, siyo halali. Ukautangazia umma kwa uwazi, tayari umetimiza wajibu wako. Wanaotakiwa kuchukua hatua ni wenye pesa yao, ambao ni wananchi. Kama wao wanaona ni halali mbunge achukue 26m kwa mwezi na Rais 50m kwa mwezi, basi hakuna wakubadilisha.
Ukitaka kujua wabunge hawatuwakilishi,wamepitisha sheria inayowapa mamlaka maafisa wa usalama wa taifa kutoa uhai watanzania bila kushtakiwa.Wanafanya wanavyotaka si wanawajua waTanzania ni watu wa kubweka bweka lakini hawachukui hatua........
Watawala ni kama wanasimamia mochwari.......
Usalama wa taifa kuuwa watu pasipo kufikishwa mahakamani.Ndio maana tunaona miswada ya kijinga inapitishwa tu
Watu wenye madaraka kwenye nchi hii wanawaona wananchi kama maiti vileUkitaka kujua wabunge hawatuwakilishi,wamepitisha sheria inayowapa mamlaka maafisa wa usalama wa taifa kutoa uhai watanzania bila kushtakiwa.
wamepitisha bajeti ya manunuzi ya ndege mpya ya rais.
Acha ujinga basi. Kwa hiyo wewe wabunge wanapojirundikia mishahara minene huku wananchi wakifa njaa kwa umasikini wewe unaaona sawa tu?Mbowe kaongea kitu sahihi ila kinafiki sana kwasababu inamuuma kuwa nje ya bunge. Ninatumaini uchaguzi 2025 utakuwa huru na wa haki ili nao waingie bungeni kutafuna keki ya nchi. Wabunge huwa kitu kimoja bila kujali vyama linapokuja suala la maslahi yao.
Hivi hata Uingereza nako watu kushabikia sana mpira kuna athari kwa nchi?Nchi hii wajinga wengi muda wote ni simba na yanga wamejazana kwenye mabanda ya Mpira muda wote
And that is my problemKwani ukiwa chawa kuna ulazima wa kujipoteza akili? Taifa limeshidwa kuajiri wataalam wa sector mbalimbali ikiwemo walimu na madaktari ambao hawatoshelezi kwa ukosefu wa fedha, unashadadia wabunge kujilipa kiasi hicho cha fedha?
WananchiMapambio watapiga kina nani sasa?
Vyama vya wafanyakazi vip?😅😅Mei mosi mnapata t-shirt wale wa VIP wanapata T-shirt na mwamvuli wa ju.Vyama vya wafanyakazi angalie nyongeza za mishahara kwa watumishi wa umma.
Per diem hata mimi naitandika Hiyo 250k..Hii ni kweli hata taasisi za serikali wanalipana per diem 250k kutoka 180k na benefits kibao nyingine.
Hii ni kweli mkuu!
😅😅😅😅Ukipata piga tu ,nchi hii wazalendo washakufaPer diem hata mimi naitandika Hiyo 250k..
Wanisema 😅😅..
Lakini si naifanyia kazi 😅😅😅
Nazani umeona wabunge wa uingereza walivyonamsimamo hata kama ni kama ni kiongozi wa Chama ukienda tofauti na malengo wanaacha kukuunga mkono sababu ya shinikizo kutoka kwa wananchi wao viongozi wanaamua kujiuzuruHivi hata Uingereza nako watu kushabikia sana mpira kuna athari kwa nchi?