zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,922
- 36,884
Sasa aende polisi hata kma sheria hazifuatwi?? Hvi unajua kesi ya madawa ni jinai?? Je angefika huko afu Atupwe selo kwa kisingizio cha KUSAIDIA POLISI KWENYE UCHUNGUZI angefanyeje????Mkuu, Mbowe anaishi Mikocheni Dar. Makonda ni mkuu wa mkoa wa Dar, kwanini asiwe na mamlaka ya kumuita mkazi wake aende central police. Kina Iddi Azzan na wengine mbona walikwenda central na mambo yakaisha?.
Mzee Mtei ambaye ndiye mwanzilishi wa CDM kasema Mbowe ajitafakari hapa alipofikia, kwani kutajwa jina lake ni doa kwa chama ambacho yeye Mzee Mtei alikianzisha.
Tatizo ambalo ni la msingi ni baadhi ya wanasiasa kushindwa kubadilika kadri ya muda unavyokwenda. Siasa za kuvimbiana zilifanyika enzi zile za JK aliyeweza kumchekea yoyote yule aliye mbele ya macho yake. Awamu ya tano haivimbiwi kipuuzi tu.
Kesi ya madawa ni sensitive sana mbona hizi za uchochezi anaendaga tu muhim ni utaratibu ufuatwe ila mkipindisha mambo lazma yye kma kiongozi wa chama cha siasa nayeye ajilinde kwa kupitia sheria za nchi hiii sasa kosa likwapi akikataa kwenda polisi hadi utaratibu ufuatwe??? Kwani kipi kigumu?? Si mngefuata tu utaratibu yaishe...
Afu hiyo BS ya kusema awamu ya 5 haivimbiwi ndio nini??? Yaani mbowe asitafute haki yake eti kisa awamu ya 5 haivimbiwi??? Ssa mliweka katiba ya nni??? Mliweka sheria za nni kma hamtaki ziwaongoze......
Nyie mrundikeni misifa tu trust me watu wakichoka hta hao mabilionea wataishia kufadhili ma Al shabaab kuja kuivuruga nchi ndio hapo tuone huo msemo wa HATUVIMBIWI utawaokoa nini....... wanafunzi hawana mikopo kimya, export zinapungua,makontena,uchumi unashuka,thamani ya shilingu inaporomoka hayo yote hamsemi mnavimbiwa ila wapinzani wakitaka sheria ifuatwe ndo mnasema HATUVIMBIWI???? shame on u pal..... umeniharibia siku tu
haha