Mbowe utakizika chama

Mbowe utakizika chama

Mbowe ni mlevi fulani hivi
Screenshot_20200620-144347.jpg
 
Kama utang'ang'ania kuwania Urais, unaenda kukizika chama rasmi acha ubishi. Mimi wakati unagombea uwenyekiti nilitoka wazi wazi na kukupinga kuwa haikuwa sahihi, sasa unataka kurudia makosa yale yale uliyofanya kugombea uwenyekiti zaidi ya miaka 15.

Kama ni urais ulishagombea mwaka 2005 na ukapata kura laki 6; huu ni zaidi ya utoto unaotaka kufanya bora hata kumpa nafasi Mnyika au mwanamke, lakini sio wewe zama zako zimepita.

Nakuhakikishia hautapata kula milion 1 hata sisi Wachagga tutakukataa haiwezekani ukifanye chama kama mali yako binafsi kama unaitumikia CCM sema maana umekihujumu chama vya kutosha.

Kwanini mnalazimisha Lissu agombee peke yake? Kwanini msiache vikao vya chama chenu viamue?hahahahaha mambo ya demokrasia hayo
 
Kama utang'ang'ania kuwania Urais, unaenda kukizika chama rasmi acha ubishi. Mimi wakati unagombea uwenyekiti nilitoka wazi wazi na kukupinga kuwa haikuwa sahihi, sasa unataka kurudia makosa yale yale uliyofanya kugombea uwenyekiti zaidi ya miaka 15.

Kama ni urais ulishagombea mwaka 2005 na ukapata kura laki 6; huu ni zaidi ya utoto unaotaka kufanya bora hata kumpa nafasi Mnyika au mwanamke, lakini sio wewe zama zako zimepita.

Nakuhakikishia hautapata kula milion 1 hata sisi Wachagga tutakukataa haiwezekani ukifanye chama kama mali yako binafsi kama unaitumikia CCM sema maana umekihujumu chama vya kutosha.

Bora wewe umesema wazi kuwa chadema ni chama cha wachagga hahahaha
 
Kama utang'ang'ania kuwania Urais, unaenda kukizika chama rasmi acha ubishi. Mimi wakati unagombea uwenyekiti nilitoka wazi wazi na kukupinga kuwa haikuwa sahihi, sasa unataka kurudia makosa yale yale uliyofanya kugombea uwenyekiti zaidi ya miaka 15.

Kama ni urais ulishagombea mwaka 2005 na ukapata kura laki 6; huu ni zaidi ya utoto unaotaka kufanya bora hata kumpa nafasi Mnyika au mwanamke, lakini sio wewe zama zako zimepita.

Nakuhakikishia hautapata kula milion 1 hata sisi Wachagga tutakukataa haiwezekani ukifanye chama kama mali yako binafsi kama unaitumikia CCM sema maana umekihujumu chama vya kutosha.
Hata nyie wachaga mtamkataa!!!
 
CDM inawatoa jasho. Mnatumia miguvu yote ya Nini kwa chama kilichokufa?mnaogopa maiti? Vitisho, Ubabe, na matumizi ya hovyo ya taasisi za serikali ya Nini ikiwa mnaamini CDM imekufa?
Nani anapenda kukaa karibu na mzoga! Walishakufa so wakae makaburini sio kutufanyia fujo mitaani
 
Hivi kwani kuna mtu keshafika bei.

Ile nafasi hua inauzwa.
 
Huu uzi umeandikwa kimuhemko sana, siku nyingine kabla hujaandika kunywa maji kwanza.

Mnajidai kuijua siasa lakini bahati mbaya hamjui hata taratibu zinazoongoza hiyo siasa yenyewe, wewe kutomtaka Mbowe hakuwafanyi na wengine wasimtake, tulia process zifuatwe atakaeonekana anafaa mwisho wa siku atateuliwa, huku kukurupuka kwenu hakusaidii, Chadema sio chama cha mtu kina taratibu zake.

Halafu unavyosema hata nyie wachaga mtamkataa unamaanisha nini? hapo naona ume expose your highest degree of stupidness, Chadema iko Iringa, Mbeya, mpaka Musoma, wacha ujinga wewe.

Eti nakuhakikishia... nakuhakikishia... who are you, bullshit.
Duh.. Tayari msukule wa Mbowe huu hapa
 
Kwanini mnalazimisha Lissu agombee peke yake? Kwanini msiache vikao vya chama chenu viamue?hahahahaha mambo ya demokrasia hayo
Utoto tu!.

Pretends wanaipenda sana CDM, while they know nothing.
 
Kama utang'ang'ania kuwania Urais, unaenda kukizika chama rasmi acha ubishi. Mimi wakati unagombea uwenyekiti nilitoka wazi wazi na kukupinga kuwa haikuwa sahihi, sasa unataka kurudia makosa yale yale uliyofanya kugombea uwenyekiti zaidi ya miaka 15.

Kama ni urais ulishagombea mwaka 2005 na ukapata kura laki 6; huu ni zaidi ya utoto unaotaka kufanya bora hata kumpa nafasi Mnyika au mwanamke, lakini sio wewe zama zako zimepita.

Nakuhakikishia hautapata kula milion 1 hata sisi Wachagga tutakukataa haiwezekani ukifanye chama kama mali yako binafsi kama unaitumikia CCM sema maana umekihujumu chama vya kutosha.
Amekihujumu chama kivipi? Chuki zako binafsi kwa Mbowe usihamasishe na kwa wengine. Mbowe ana mapungufu lakini kaifanyia makubwa mno Chadema.
 
Sijui Mbowe haoni aibu?
Cdm imedhoofu ameshindwa vita, asisingizie watu kuhongwa pekee naye amekosa mbinu za kimkakati.
Aachie kugombea abaki kuwa mdhauri hilo linamfaa
Unaonaje ungegombea huo Uenyekiti ili uonyeshe hizo mbinu za kimkakati?
 
Ni bora Mbowe ataleta wabunge hata watatu ila mkijikoroga mkampa mropokaji hata diwani hampati. Hatakiwi na system

Wazee wa system ndio wanatuchagulia rais? Mbowe hatoshi kuwa rais wetu. Sisi wapiga kura wengi wa upinzani tunamtaka Lissu. Hao system wakampe kura Mbowe.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom