Mbowe utakizika chama

Mbowe utakizika chama

Kwamba yeye kama mwwnyekiti hajui vigezo vinavyohitajika kuwa mgombea wa urais?
Kumbukumbu zangu zinaniambia lazima mgombea awe na shahada je mheshimiwa Mbowe anayo hyo digrii?
Achilia mbali hujuma na mbinu chafu za CCM,kwa mtazamo wangu wapinzani hajujajipanga kuongoza nchi.
Lakini sio mbaya wajukuu zetu watakuja kuiong'oa CCM huko mbeleni sio leo wala kesho.
Amegombea sababu ni haki yake na amejipima vigezo pia.
Lakini hawezi kuleta tija.
Akipewa mgombea mwenye mvuto kwa wapiga kura...atasaidia kupata wabunge wengi na kuhuisha chama.
Ushindi waweza kuwa mgumu kwa niwajuavyo majambazi wa chama kile
 
Sijui Mbowe haoni aibu?
Cdm imedhoofu ameshindwa vita, asisingizie watu kuhongwa pekee naye amekosa mbinu za kimkakati.
Aachie kugombea abaki kuwa mdhauri hilo linamfaa
Nahisi hata hujui ulichoandika, now prove me wrong; hebu tuwekee hapa hizo mbinu zako za kimkakati unazozungumzia, atleast weka mbinu mbili tu.
 
CDM Akili kubwaa. Nawamini Endeleeni na utaratibu, Kama hujaelewa Akili inayotumika hapo na kuandika Uzi wa namna hii, Basi hata magufuli unatakiwa umpigie upatu mleta uzi.
 
Kama utang'ang'ania kuwania Urais, unaenda kukizika chama rasmi acha ubishi. Mimi wakati unagombea uwenyekiti nilitoka wazi wazi na kukupinga kuwa haikuwa sahihi, sasa unataka kurudia makosa yale yale uliyofanya kugombea uwenyekiti zaidi ya miaka 15.

Kama ni urais ulishagombea mwaka 2005 na ukapata kura laki 6; huu ni zaidi ya utoto unaotaka kufanya bora hata kumpa nafasi Mnyika au mwanamke, lakini sio wewe zama zako zimepita.

Nakuhakikishia hautapata kula milion 1 hata sisi Wachagga tutakukataa haiwezekani ukifanye chama kama mali yako binafsi kama unaitumikia CCM sema maana umekihujumu chama vya kutosha.
Mkuu mchezo uliopo hapo utaupenda hakuna mfano. Mbowe usimfikirie hivyo unavyofikiri, jina lake halitapitishwa na Chama na kwa kuwa yeye kama mwenyekiti hata lalamika makundi ya kulalamika kwa watia nia wengine yatawezaje kuanzishwa?
Chama kitabaki kua kimoja katika safari ya kumuwajibisha dikteta
 
Chama alishakizika toka 2015 labda kama kuna utaalam wa kuzika kitu mara 2
CDM inawatoa jasho. Mnatumia miguvu yote ya Nini kwa chama kilichokufa?mnaogopa maiti? Vitisho, Ubabe, na matumizi ya hovyo ya taasisi za serikali ya Nini ikiwa mnaamini CDM imekufa?
 
Mkuu mchezo uliopo hapo utaupenda hakuna mfano. Mbowe usimfikirie hivyo unavyofikiri, jina lake halitapitishwa na Chama na kwa kuwa yeye kama mwenyekiti hata lalamika makundi ya kulalamika kwa watia nia wengine yatawezaje kuanzishwa?
Chama kitabaki kua kimoja katika safari ya kumuwajibisha dikteta
Mbowe ndiye chama acha utoto
 
Mbowe ndo kila kitu Tz kura laki 6 2005 ninyingi sana kikwete mwenyewe hakupata hata Mil 2 ,mtoa unatumika na ccm , ujitambui .
 
Kama utang'ang'ania kuwania Urais, unaenda kukizika chama rasmi acha ubishi. Mimi wakati unagombea uwenyekiti nilitoka wazi wazi na kukupinga kuwa haikuwa sahihi, sasa unataka kurudia makosa yale yale uliyofanya kugombea uwenyekiti zaidi ya miaka 15.

Kama ni urais ulishagombea mwaka 2005 na ukapata kura laki 6; huu ni zaidi ya utoto unaotaka kufanya bora hata kumpa nafasi Mnyika au mwanamke, lakini sio wewe zama zako zimepita.

Nakuhakikishia hautapata kula milion 1 hata sisi Wachagga tutakukataa haiwezekani ukifanye chama kama mali yako binafsi kama unaitumikia CCM sema maana umekihujumu chama vya kutosha.
Mkuu punguza hasira kama ilivyo ccm na vyama vingine kila chama kina mikakati yake ya ushindi ikiwemo CHADEMA cha msingi jikite katika kutoa ushauri ya kwamba nini kifanyike kati ya chama flani kushinda chama kingine nini kifanyike basi
.chama ni tahasisi hakuna aliejuu ya chama sio mbowe,magu,lipumba au seif wa ACT,ni wanachama pekee wenye chama basi mengine ya ngoswe hunamuachia ngoswe
 
Huu uzi umeandikwa kimuhemko sana, siku nyingine kabla hujaandika kunywa maji kwanza.

Mnajidai kuijua siasa lakini bahati mbaya hamjui hata taratibu zinazoongoza hiyo siasa yenyewe, wewe kutomtaka Mbowe hakuwafanyi na wengine wasimtake, tulia process zifuatwe atakaeonekana anafaa mwisho wa siku atateuliwa, huku kukurupuka kwenu hakusaidii, Chadema sio chama cha mtu kina taratibu zake.

Halafu unavyosema hata nyie wachaga mtamkataa unamaanisha nini? hapo naona ume expose your highest degree of stupidness, Chadema iko Iringa, Mbeya, mpaka Musoma, wacha ujinga wewe.

Eti nakuhakikishia... nakuhakikishia... who are you, bullshit.
Taratibu wajomba , tunajenga chama
 
Kama utang'ang'ania kuwania Urais, unaenda kukizika chama rasmi acha ubishi. Mimi wakati unagombea uwenyekiti nilitoka wazi wazi na kukupinga kuwa haikuwa sahihi, sasa unataka kurudia makosa yale yale uliyofanya kugombea uwenyekiti zaidi ya miaka 15.

Kama ni urais ulishagombea mwaka 2005 na ukapata kura laki 6; huu ni zaidi ya utoto unaotaka kufanya bora hata kumpa nafasi Mnyika au mwanamke, lakini sio wewe zama zako zimepita.

Nakuhakikishia hautapata kula milion 1 hata sisi Wachagga tutakukataa haiwezekani ukifanye chama kama mali yako binafsi kama unaitumikia CCM sema maana umekihujumu chama vya kutosha.
msaliti!
 
Unamawazo yanayoshabihiana nami, Mimi hata sjaelewa kinachoendelea, siasa ya Chadema Kwa sasa ni ngumu hata kuitabilia
 
Back
Top Bottom