Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Amegombea sababu ni haki yake na amejipima vigezo pia.Kwamba yeye kama mwwnyekiti hajui vigezo vinavyohitajika kuwa mgombea wa urais?
Kumbukumbu zangu zinaniambia lazima mgombea awe na shahada je mheshimiwa Mbowe anayo hyo digrii?
Achilia mbali hujuma na mbinu chafu za CCM,kwa mtazamo wangu wapinzani hajujajipanga kuongoza nchi.
Lakini sio mbaya wajukuu zetu watakuja kuiong'oa CCM huko mbeleni sio leo wala kesho.
Lakini hawezi kuleta tija.
Akipewa mgombea mwenye mvuto kwa wapiga kura...atasaidia kupata wabunge wengi na kuhuisha chama.
Ushindi waweza kuwa mgumu kwa niwajuavyo majambazi wa chama kile